so, pamoja na kusahishiwa upya mtihani, bado umepata zero??
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
huna jipya,kale vumbi ya chaki huko.
Poa zero nimekuelewa.....bye zero.....ila ukiweza tafsiri msemo huu,, "artificial education is no match to natural stupidity"...sawa zero??pole sana mwalimu kwa kufeli mitihani yako ya huko nyuma na kujikuta umeangukia kwenye hyo professional ya kimasikini.ngoja nikunong'oneze,me toka nimeanza kusoma cjawahi kufeli mtihani wa level yoyote ile kama wewe.
eti nawe unajiita mwalimu!akili imejaa makamasi tu,na mtaendelea kula vumbi la chaki mpaka yesu arudi mabogus wakubwa nyie.
bora hata na wewe umeliona hilo mkuu,hawa walimu wa siku hzi wanaenda kusomea ualimu kwa sababu walifeli huko secondary au wengine ili tu wapate bumu..mwishowe ndo hawa wanaishia kuuza maandazi na wengne kuwa mabodaboda huko mashuleni na kuwaacha watoto wakifeli.halafu hata wasivyokua na aibu eti bado nao wanataka waongezewe mshahara..walimu mishahara yenu itabaki kuwa TGS D milele,hawana mchango wowote katika hili taifa.
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
Jamani mbona hotuba ya waziri wa elimu haijataja asilimia za ongezeko la mishahara kwa walimu
Du afadhali walimu waongezewe mishahara wapungue kule Slip Way usiku kwenye part time job!
Hahaaaaaaaaa hili nalo inabidi liangaliwe vzuri cuz somtym lisemwalo lipo, kuuza kashata khaa khaa iiiiiiiiiiiiiigweeMuongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
Reactions za walimu hawa wa kidigital zinaonyesha hawana busara,mwalimu wa kweli kitaaluma hawezi kuandika matusi makubwa kwenye jukwaa linaloheshmika ama JF..mi naona uwezo wao wa kufikiri unaendana na mshahara wanaolipwa wawe wapole tu.
huna jipya,kale vumbi ya chaki huko.
Ndio nimeamin kuwa kuna watu hawajui nini maana ya mwalimu
Siwashangai kwa kuwa huenda kweli wana uwezo mdogo wa kufikiria kama plato alivyowaita "iron boys" ila kinachoniskitisha kuwa hawa watu hawajabarehe sasa najiuliza wameingiaje JF wakat bado ni watoto wadogo sana kifikra
Mtu unaposema eti "wanafuata bumu" umefikiria kweli, unajua kuwa cut off ya MBB, BSc in chem, bio, geog, general, F&A, Ed, faculty nyingne nying ni ileile
Au wewe unaposema wanafuata bumu tu unamaanisha nini?
Najua ulikosa nafasi ya chuo hvyo unaendeleza wivu wako wa kijinga