Lakini sio walimu wasiofundisha ambao kazi yao ni kudai mishahara kama wa shule za kayumba nadhani matokeo yake unayaona zero kibao,usitegemee kutoa daktari,zamani walimu walikuwa na wito wanapiga kazi kinoma thus why walitoa product za ukweli.....bisha?ungejulia wapi jf wewe acha ushoga madaktari wenyewe walifudishwa na walimu...
Lakini sio walimu wasiofundisha ambao kazi yao ni kudai mishahara kama wa shule za kayumba nadhani matokeo yake unayaona zero kibao,usitegemee kutoa daktari,zamani walimu walikuwa na wito wanapiga kazi kinoma thus why walitoa product za ukweli.....bisha?
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
Tatizo la waalimu wetu sii lao ni hao marais wao, badala ya kupanga mishahara realistic wanakuja na figures ambazo kama zikilipwa then watumishi wengine wasilipwe mshahara! yaani watumishi woote wa umma waishi bila mishahara (ma dr, wanajeshi, police, mahakama, etc..)! hawa viongozi wao wanalamba pesa ya mwalimu house ya pale ilala wakati waalimu wetu wanasota! hata aibu hawana, kazi kupiga siasa tu shame on you mukoba na mtani wako!
poleni ma teachers, we all love you! and wish you all da best!
bora hata na wewe umeliona hilo mkuu,hawa walimu wa siku hzi wanaenda kusomea ualimu kwa sababu walifeli huko secondary au wengine ili tu wapate bumu..mwishowe ndo hawa wanaishia kuuza maandazi na wengne kuwa mabodaboda huko mashuleni na kuwaacha watoto wakifeli.halafu hata wasivyokua na aibu eti bado nao wanataka waongezewe mshahara..walimu mishahara yenu itabaki kuwa TGS D milele,hawana mchango wowote katika hili taifa.
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.