wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Huku mtaani kuna vipanya fulani hivi vina pua ndefu na mlio mkali sana vikilia utadhani ni mtu anasugua chuma.
Cha ajabu hivi vipanya ukitega kwenye mtego kikanasa panya mwenzake akija kukikuta hapo anamla utumbo na nyama laini zote za ndani ngozi anakuachia hapo.
Kingine hawa panya hata umrushe hapo paka au kunguru hali sijui wanaladha gani, na niwakali ukikutane nae anakufuata hata mguuni ili akuume nasikia wanasumu kali sana akikuuma kupona ni shughuli nyingine.
Naomba serikali upande wa wizara husika wafanye utafiti kabla hawajawa wengi wakajaleta madhara baadae.
Cha ajabu hivi vipanya ukitega kwenye mtego kikanasa panya mwenzake akija kukikuta hapo anamla utumbo na nyama laini zote za ndani ngozi anakuachia hapo.
Kingine hawa panya hata umrushe hapo paka au kunguru hali sijui wanaladha gani, na niwakali ukikutane nae anakufuata hata mguuni ili akuume nasikia wanasumu kali sana akikuuma kupona ni shughuli nyingine.
Naomba serikali upande wa wizara husika wafanye utafiti kabla hawajawa wengi wakajaleta madhara baadae.