Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mnawaongelea sana ila picha hakuna
Au ni wapiga kura hao
Au ni wapiga kura hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja serikali imalize misiba kisha itapanga mikakati kwa kushirikiana na majeshi jinsi ya kupambana nao, ila tutasubiri majeshi yarudi toka Goma.Huku mtaani kuna vipanya fulani hivi vina pua ndefu na mlio mkali sana vikilia utadhani ni mtu anasugua chuma.
cha ajabu hivi vipanya ukit3ga kwenye mtego kikanasa panya mwenzake akija kukikuta hapo anamla utumbo na nayama laini zote za ndani ngozi anakuachia hapo.
Kingine hawa panya hata umrushe hapo paka au kunguru hali sijui wanaladha gani,na niwakali ukikutane nae anakufuata haymta mguuni ili akuume nasikia wanasumu kali sana akikuuma kupona ni shughuli nyingine.
Naomba serikali upande wa wizara husika wafanye utafiti kabla hawajawa wengi wakajaleta madhara baadae.
Popoma aliropoka tuMbona GENTAMYCINE alishawahi kuliongelea hili...
GENTAMYCINE ( Nyangumi ) ndiyo huwa anaanzisha Mwendo wa Mijadala na Mada fikirishi na Mada taarifa hapa JamiiForums kisha Wengine ( Dagaa ) huanzia hapo au huniiga.Mbona GENTAMYCINE alishawahi kuliongelea hili...
Mnatumia nguvu kubwa sana kutaka KUNISHUSHA na kuonyesha kuwa sina THAMANI hiyo ila mlichokisahau tu Wapumbavu wa mfano wako ni kwamba GENTAMYCINE nimebarikiwa SHANI / TUNU nyingi na Mwenyezi Mungu ambazo ndizo zinawafanya muwe na WIVU nami na MNICHUKIE kisha mnaendelea tu KULAANIKA hapa duniani.
Hakuna anayekupinga mkuu.GENTAMYCINE ( Nyangumi ) ndiyo huwa anaanzisha Mwendo wa Mijadala na Mada fikirishi na Mada taarifa hapa JamiiForums kisha Wengine ( Dagaa ) huanzia hapo au huniiga.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!