Ongezeko la panya wa ajabu mtaani

Ngoja serikali imalize misiba kisha itapanga mikakati kwa kushirikiana na majeshi jinsi ya kupambana nao, ila tutasubiri majeshi yarudi toka Goma.
 
Popoma aliropoka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatumia nguvu kubwa sana kutaka KUNISHUSHA na kuonyesha kuwa sina THAMANI hiyo ila mlichokisahau tu Wapumbavu wa mfano wako ni kwamba GENTAMYCINE nimebarikiwa SHANI / TUNU nyingi na Mwenyezi Mungu ambazo ndizo zinawafanya muwe na WIVU nami na MNICHUKIE kisha mnaendelea tu KULAANIKA hapa duniani.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
GENTAMYCINE ( Nyangumi ) ndiyo huwa anaanzisha Mwendo wa Mijadala na Mada fikirishi na Mada taarifa hapa JamiiForums kisha Wengine ( Dagaa ) huanzia hapo au huniiga.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Hakuna anayekupinga mkuu.
 
Ni matokeo ya kile kikao chao, kikao kingine ni wiki ijayo na mojawapo ya mkakati ni kuwaondoa wanadamu ndani ya nyumba zao kwa kutafuna nyayo na wakati wa mtanange wanakula tak..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…