Ongezeko la sperms

Ongezeko la sperms

jenereta

Senior Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
146
Reaction score
40
Habari wanajamvi,

Mi nahitaji kujua; ni vyakula gani mwanaume ukila unaongeza uwingi wa sperms kwa muda mfupi kiasi?

Naomba msaada wenu please.
 
piga korosho na karanga kwa sana,

Siku hizi imeongezeka na vipande vya mihogo- wakina mama wanauza sana kwenye foleni dar!!
 
Kula vyakula vya protein nyingi..kama samaki.karanga.korosho.mayai..maziwa..wiki tuu halafu pimia mshindo
 
Mkuu jaribu kula karanga mbichi mida ya asubuhi na jioni pata supu ya pweza, kumbuka mihogo nayo huchangia ukipata vipande vi3,4 kwa time za mchana...hiyo mechi yake hatari tupu
 
Chukua mayai ya kienyeji saba ukoroge ndani ya asali vijiko vikubwa vitatu kwa siku moja,mara nne kwa wiki sio mbaya. Au chukua maziwa ya unga mfano nido uweke kwenye kikombe kikubwa had nusu na robô plus na asali vijiko vitatu pamoja na maji nafasi iliyobakia na ukoroge had zege lichanganyike...pendelea kutumia zaidi,utaona matokeo tofauti kwenye sperm production na heavy weight yake...hii ni special kama una mke,kama haujaoa utaathirika na maradhi ya hapa na pale...
 
Chukua mayai ya kienyeji saba ukoroge ndani ya asali vijiko vikubwa vitatu kwa siku moja,mara nne kwa wiki sio mbaya. Au chukua maziwa ya unga mfano nido uweke kwenye kikombe kikubwa had nusu na robô plus na asali vijiko vitatu pamoja na maji nafasi iliyobakia na ukoroge had zege lichanganyike...pendelea kutumia zaidi,utaona matokeo tofauti kwenye sperm production na heavy weight yake...hii ni special kama una mke,kama haujaoa utaathirika na maradhi ya hapa na pale...

mkuu hii ya maziwa NIDO na asali ina uthibitisho wa kitaalamu?
 

wakati mwingine msiwe kama watoto wadogo, kama ni utoto kuna jukwaa lake kule kids corner!! mtu ana tatizo anahitaji msaada, toka kwa wataalam, we unaleta utoto tena.sio ka uzi lazima uchangie hata kama huna la kuchangia.
 
Kitulize kama mwezi hv huku ukila kushiba... Ukifanya mapenzi baada ya muda utaona matokeo
 
kula vifuatavyo mtu wangu

1.matunda km parachichi,kokomanga,tikiti maji na mbegu zake ndizi,pili pili

2.vitunguu swaum na tangawizi changanya na asali

3.kula cna chokolate

4.kunywa maji mengi na mazoez

5samak aina ya oystar

pendelea cn mboga za majan ni nzr cn
 
kula vifuatavyo mtu wangu

1.matunda km parachichi,kokomanga,tikiti maji na mbegu zake ndizi,pili pili

2.vitunguu swaum na tangawizi changanya na asali

3.kula cna chokolate

4.kunywa maji mengi na mazoez

5samak aina ya oystar

pendelea cn mboga za majan ni nzr cn

"cn" ndio nini?
 
Back
Top Bottom