Ongezeko la vifo kwa asilimia 5,427

Ongezeko la vifo kwa asilimia 5,427

Unaongelea kuchanja, halafu unaongelea miaka hii miwili.. Chanjo imeanza February mwaka huu, ndo kwanza ina miezi 9.. Ila corona ilianza Dec 2019.. ina miaka miwili.. Kwanini usihusishe vifo na ugonjwa badala ya kuhusisha vifo na chanjo? Ewe mleta mada--
Swali zuri.
Sihusishi na ugonjwa kwa sababu survival rate ya ugonjwa huu ni kubwa sana. Uwezekano wa watu kufa nao (fatality rate) ni 0.03 tu. Read HERE. Kwa hiyo, vifo vimepanda baada ya chanjo kuanza. Na kama ulivyosema ni miezi 9 tu sasa, that makes it even worse.
 
I like the "sikio la sisimizi" analogy. 😀Nakubali scenario yako. Lakini ukweli ni upi kuhusu ugonjwa huu? Ukweli ni kwamba survival rate ya covid ni above 95% kwa maana kwamba uwezekano wa watu kufa nao ni mdogo sana (fatality rate is 0.03). Unaweza kusoma HAPA. Kwa hiyo, ni propaganda tu ndio zimetujaza hofu kwa ili wao watimize malengo mengine kabisa.

Maana yangu ni kuwa hata tukilinganisha kwa msingi wa scenario uliyoweka, bado fatality rate ya chanjo hii itakuwa way too high.
Mkuu, nashukuru. Nimesoma bandiko uliloambatanisha. Hata tukiamua kukubaliana na fatality rate ya 0.03 aliyoitoa, na hata kama tungeipunguza ikafika 0.01, lakini kuna factor ya KASI ya usambaaji wa ugonjwa hajaiweka vizuri. Just week Russia wameripoti vifo around 1000/day vinavyotokana na COVID, na tuchukulie hivyo vifo 1000/day ndo hiyo hiyo fatality rate ya 0.03, je, in terms of numbers, no ugonjwa gani unaweza kuua watu wengi hivyo ndani ya nchi moja kwa siku? Kuhusu hidden agenda, mkuu hata mimi sijui. Ila nawaza tu, kati ya njia zote walizonazo, ambazo wangeweza kutumia kutimiza nia zao ovu, ni kwa nini wachague chanjo ya Corona? Wanatengeneza madawa tunayotumia, wanatengeneza mbegu za hybrid za nyanya na vitunguu tunavyoungia mboga, wanatengeneza mbolea, na vingine vingi, bado wanatengeneza chanjo ambazo kila mtoto mchanga anachomwa, je wakiamua kutubadilishia DNA kama reference ya bandiko ulilotoa linavyoeleza, wangeshindwa?

NB: Mimi sijachanjwa na sifikirii kuchanjwa kwa sababu moja kubwa, bado ni kijana, nina nguvu na ninaamini kwenye kinga yangu ya mwili kufight against COVID. Lakini nachelea sana kuwa sehemu ya kuwatia hofu wengine juu ya madhara ya chanjo, tuhuma ambazo sina uhakika nazo kwa walau asilimia 50.
 
Mkuu, nashukuru. Nimesoma bandiko uliloambatanisha. Hata tukiamua kukubaliana na fatality rate ya 0.03 aliyoitoa, na hata kama tungeipunguza ikafika 0.01, lakini kuna factor ya KASI ya usambaaji wa ugonjwa hajaiweka vizuri. Just week Russia wameripoti vifo around 1000/day vinavyotokana na COVID, na tuchukulie hivyo vifo 1000/day ndo hiyo hiyo fatality rate ya 0.03, je, in terms of numbers, no ugonjwa gani unaweza kuua watu wengi hivyo ndani ya nchi moja kwa siku? Kuhusu hidden agenda, mkuu hata mimi sijui. Ila nawaza tu, kati ya njia zote walizonazo, ambazo wangeweza kutumia kutimiza nia zao ovu, ni kwa nini wachague chanjo ya Corona? Wanatengeneza madawa tunayotumia, wanatengeneza mbegu za hybrid za nyanya na vitunguu tunavyoungia mboga, wanatengeneza mbolea, na vingine vingi, bado wanatengeneza chanjo ambazo kila mtoto mchanga anachomwa, je wakiamua kutubadilishia DNA kama reference ya bandiko ulilotoa linavyoeleza, wangeshindwa?

NB: Mimi sijachanjwa na sifikirii kuchanjwa kwa sababu moja kubwa, bado ni kijana, nina nguvu na ninaamini kwenye kinga yangu ya mwili kufight against COVID. Lakini nachelea sana kuwa sehemu ya kuwatia hofu wengine juu ya madhara ya chanjo, tuhuma ambazo sina uhakika nazo kwa walau asilimia 50.
Ni kweli inaweza kuonekana kwamba ni kama kuwatia hofu watu dhidi ya chanjo lakini labda tuseme kwamba tuendelee kutafuta habari zaidi. Anayedhani ni salama atafute habari zaidi na anayedhani sio salama atafute habari zaidi.

Mathalani, habari hii inasema: In Taiwan it is now reported that deaths from COVID-19 vaccination exceed deaths from the COVID-19 virus. Iko HAPA. Na hata data za Eudravigilance nazo si za kupendeza hata kidogo. Something is going on in the world that is not usual for sure.
Habari za aina hii hadi sasa zinazidi kuongezeka.
Let's give time a chance, although it will most probably be too late kwa wale watakaokuwa wameshakubali, maana hakutakuwa na reverse gear.
 
Swali zuri.
Sihusishi na ugonjwa kwa sababu survival rate ya ugonjwa huu ni kubwa sana. Uwezekano wa watu kufa nao (fatality rate) ni 0.03 tu. Read HERE. Kwa hiyo, vifo vimepanda baada ya chanjo kuanza. Na kama ulivyosema ni miezi 9 tu sasa, that makes it even worse.
Ahhh kumbe wale wale.. Yaani niache reference sources zote zenye weledi ninazozifahamu miaka nenda rudi nije kusoma source yenye mafuvu?
 
Ni kweli inaweza kuonekana kwamba ni kama kuwatia hofu watu dhidi ya chanjo lakini labda tuseme kwamba tuendelee kutafuta habari zaidi. Anayedhani ni salama atafute habari zaidi na anayedhani sio salama atafute habari zaidi.

Mathalani, habari hii inasema: In Taiwan it is now reported that deaths from COVID-19 vaccination exceed deaths from the COVID-19 virus. Iko HAPA. Na hata data za Eudravigilance nazo si za kupendeza hata kidogo. Something is going on in the world that is not usual for sure.
Habari za aina hii hadi sasa zinazidi kuongezeka.
Let's give time a chance, although it will most probably be too late kwa wale watakaokuwa wameshakubali, maana hakutakuwa na reverse gear.
Anayedhani ni salama atafute habari zaidi na anayedhani sio salama atafute habari zaidi.

Nimeipenda sana nukuu yako mkuu, tuendelee kutafuta MAARIFA na TAARIFA, na sio ilimradi taarifa tu, bali TAARIFA SAHIHI. Ikiwezekana tutafute taarifa zinazoweza kukinzana na kile tunachoamini. Na pia source za taarifa zetu, tunapaswa kujiridhisha pasi shaka kuwa ni authentic, authoritative, current, relevant and reliable. All in all, time always tells
 
Back
Top Bottom