wazirihusika
Member
- May 17, 2013
- 83
- 82
Ongezeka la vyuo vingi vinavyotoa certificates na diploma haswa vilivyo chini ya NACTE vinapunguza ubora wa elimu tanzania.Wanafunzi wengi katika sekondari hawana juhudi binafsi kwa sababu wengi wamepanga kujiunga na vyuo hivyo vyenye ubora mdogo kuliko kuendelea na kidato cha tano na sita