Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Mhindi wenu janja janja ataendelea kuwapiga mpaka mnyooke kama rula. Hamuendi kokote nyinyi mbumbumbu.Kunyweni kunyweni Simba yetu isonge mbele
Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.Ni kweli anauza 3 million bottles kwa siku ?
TRA inabidi wamfanyie assesment, maana moja kwa moja inaashiria anafanya TBL numbers, ila cha ajabu haongozi kwa kulipa kodi [emoji38].
Vilevile energy drinks zote zina caffeine, hii caffeine ndio inaleta addiction kama kwa wale watumiaji wa kahawa.
Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Umaarufu wake umeongezwa na utumiaji wa kinywaji hicho kama mixer ya pombe kali kama double kick, smart gin, k Vant, gongo etc. Mtu anapiga hiyo mchana kweupe haumshtukii kabisa, wateja wakubwa boda2, daladala operators, mafundi, mateja.Habari zenu wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanin...
Well said.Mhindi wenu janja janja ataendelea kuwapiga mpaka mnyooke kama rula. Hamuendi kokote nyinyi mbumbumbu.
Na mkumbuke pia kuacha kunywa mara moja hizo takataka zake. Maana mtakufa kabla ya wakati wenu. Huwezi mtu kuwa na akili zako timamu, halafu ukanywa energy drink. Ni wendawazimu pekee ndiyo wanaokunywa hizo takataka.
Mbona povu kama umekamata ugoni? Kisa umeona jina Simba umechefukwa..nani anakunywa sasa hapo unaemwambia?? Mm sijawahi na sitakuja kunywa hayo madudu..wanaokunywa wacha wanywe kwa their own risks..mimi nimeongea kwa kuwabeza tuu wanaotumia...sasa naona unanipovukia kama mm ndo nimekosa nguvu za kiume ebooo....Mhindi wenu janja janja ataendelea kuwapiga mpaka mnyooke kama rula. Hamuendi kokote nyinyi mbumbumbu.
Na mkumbuke pia kuacha kunywa mara moja hizo takataka zake. Maana mtakufa kabla ya wakati wenu. Huwezi mtu kuwa na akili zako timamu, halafu ukanywa energy drink. Ni wendawazimu pekee ndiyo wanaokunywa hizo takataka.
Maelezo mazuri But meharibu tu kumuita Mo "Muhindi"Ni kweli anauza 3 million bottles kwa siku ?
TRA inabidi wamfanyie assesment, maana moja kwa moja inaashiria anafanya TBL numbers, ila cha ajabu haongozi kwa kulipa kodi [emoji38].
Vilevile energy drinks zote zina caffeine, hii caffeine ndio inaleta addiction kama kwa wale watumiaji wa kahawa.
Vijana tujitahidi tunywe maji ya kutosha,huyu mhindi unakuta yeye hanywi energy anazoziuza.
Hapana mkuu,Ni juice Ile na inatumia matunda halisi.Kwani Mo extra ni energy drink?
Sio Energy soft drinkEnergy drink zote tu zina madhara.
Na wewe umepaniki, na wakati nakuzingua tu. Nothing serious at all.Mbona povu kama umekamata ugoni? Kisa umeona jina Simba umechefukwa..nani anakunywa sasa hapo unaemwambia?? Mm sijawahi na sitakuja kunywa hayo madudu..wanaokunywa wacha wanywe kwa their own risks..mimi nimeongea kwa kuwabeza tuu wanaotumia...sasa naona unanipovukia kama mm ndo nimekosa nguvu za kiume ebooo....
Kweli umekosa hata akili moja ya kutambua naongea nini hapo...
Halafu kila kitu kina risk zake unajiona mjanja kuwatukana wanywa energy wakati ww kwa siku unamaliza soda 3...
Kila kitu kinahitaji moderation..wangekua wanakunywa atleast moja kwa siku mtu anapiga hata 4....that's nonsense...
Sijui zinanogaje aisee akili imegoma hata kutaste kun vinywaji vinauzwaga mpk leo sijui ladha zake...
Na Kuna energy mpya imeingia mtaani kutoka kampuni ya Pepsi inaitwa supa commando huku mtaani inanyweka balaaKama Mo xtra 3m ,na Jembe? Na Azam Extra wangapi wanakunywa?
Na Kuna energy mpya imeingia mtaani kutoka kampuni ya Pepsi inaitwa supa commando huku mtaani inanyweka balaa
madhara yapoHabari zenu wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)
MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.
Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
Vijana wengi wa siku hizi mnaendekeza urojorojo mno, embu acheni kujilainisha kama mlenda. Mtu akisikia uchovu kidogo anakimbilia energy drink! Huu utamadumi mbovu kabisa. Wakati wetu mtu ukisikia uchovu unakwenda uwanjani kucheza mpira unatoka hapo unaoga, unakula ugali, unakwenda prepo au kwingineko. Vijana wa siku hizi acheni mdebwedo.Habari zenu wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)
MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.
Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
achana na vinywaji vya energy blah blah bla...si mo enenrgy tu, hata za kutoka nje kama redbull ni majanga matupu. ukisoma ile chemical composition tu inakuashiria hatari!Habari zenu wakuu,
Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)
MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.
Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?