Ongezeko la wanywaji wa Mo Extra (energy drink) limesababishwa na nini?

Ongezeko la wanywaji wa Mo Extra (energy drink) limesababishwa na nini?

Kinywaji kizuri kwanza ladha ya sukari ni ndogo ukilinganisha na azam energy.
Kina uchachu fulani na hakina tatizo ukilinganisha na azam energy ukinywa hiyo presha mpaka kichwa.

Jamaa wa mo mkemia wake ni mzuri na sijaona tatizo nikinywa ukilinganisha na energy nyingine.

Uzuri sio hatari kwa afya kama unakunywa kistaarabu
Kiukweli hivi vinywaji vya kuongeza energy lengo hasa ni mtu atumie baada ya kuwa anafanya kazi ngumu mfano wabeba matofali, zege na kazi nyingine nzito nzito. Sasa unakuta mtu ni bodaboda akipiga trip 3 anarudi kijiweni anaagiza energy drink, hii ni hatari sana.
 
Masikini ukiwawezea unatokamo kimaisha ujue. Unanielewa masikini akili yake imejikita kwenye starehe kuliko kazi. Na wanapenda Ile instant gratification,wale vitu vitamu,wape mshahara,mpe zao la kuvuna ndani ya wiki,mpe utamu wa hapo hapo ndio atakukubali. Sasa mwambie afanye project ambayo atapata manufaa from 5/10-25 yrs to come umekosana naye
 
Hivi ingekua ni unywaji wa Redbull ingelalamikiwa hivi? Coz nayo pia ni energy drink na madhara ni yale yale,

Si ajabu mtu akinywa Redbull anaweza kuonekana wa maana!
[emoji3][emoji3]
Redbull ni elfu mbili, hii MO energy ni jero tuu ndo maana zinakimbiliwa.
 
Redbull ni elfu mbili, hii MO energy ni jero tuu ndo maana zinakimbiliwa.
MO Xtra sio Energy Drink...

Energy drink lazima ziandikwe Energy drink, ya Mo ni flavoured Drink
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huyo jamaa Si muhindi au ,??? Usilete censorship jf ,Wacha mwamba atoe point yake atakavo , you either affirm or avver ,political correctness hamna hapa ,kila mtu awe huru,mie ni mwafrika hasa mweusi ,kuniita black itakuwa crime vp ???yule ni mhindi at the end of the day
Huna akili ya kuelewa,umejaza vingereza ulivyokaririshwa tu ndani ya kuta 4 za Shule,
Fungua akili yako ujue Dunia imefika wapi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tunyweni tu jaman myama Sc apate kunga’ara zaidi maana pesa zitakuwepo za kutosha,full kunyanyasa yaan.
 
Habari zenu wakuu,

Kumekuwa na wimbi kubwa la rika lote la watu katika jamii ya Kitanzania kupendelea zaidi kinywaji cha "Mo Extra" kiukweli nilikuwa naomba tupeane shule kwanini hiki kinywaji ukinywa kinaleta hali fulanj ya kutamani kuendelea kunywa mara kwa mara (addicted)

MO Dewji anasema bidhaa inayofanya vizuri Sokoni kwasasa ni MO EXTRA (energy drink) anauza JUMLA YA CHUPA BILION kwa mwaka wastani wa chupa milion 3 Kwa siku. Malengo yake ni kuuza CHUPA BILION 3.5 kwanzia mwaka 2024. Kwahyo Kwawasitani anapata 1 bilion Kwa siku includes production cost & Marketing cost.

Swali langu, je hiki kinywaji hakina madhara yoyote nje na kuwa na ununuaji mwingi kwa Watanzania?
Kinywaji cha taifa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom