Ongezeko la wanywaji wa Mo Extra (energy drink) limesababishwa na nini?

Siku hizi viwanda vyote vimefungwa mashine kila chupa hurekodiwa, TRA wanapata chao mapema kabla.

Afu hawezi danganya sababu atajiumiza kwenye kodi
 
Mtu Akiwa shamba anatumia hiyo kitu na kulima au kupalilia kwa speed ya 6G,ila the end is all being weak.
 
Kunywa mnazi.Hela yako mpaka uuze pears ndio ule. Msambaa kuchukia tajiri hakukuondolei umaskini.Wacha chuki.Chuki haijawahi kumsaidia yeyote.
 
Ni mkumbo tu hakuna jipya..
 
Acheni kunywa sumu za kujitakia. Kataa energy drinks! Kataa soda aina zote! Kunywa baji mengi, ili uishi maisha poa hapa duniani.
Una uhuru wa kunywa unachokitaka mradi hauvunji sheria za Nchi.Ninachopinga unapotoka nje ya mada na kuleta chuki kwenye mambo yasiohusiana na vinywaji. Chuki inaleta sonona na ugonjwa wa moyo.Huyo unayemchukia hata hakujui unaumia wewe tu.
 
Una uhuru wa kunywa unachokitaka mradi hauvunji sheria za Nchi.Ninachopinga unapotoka nje ya mada na kuleta chuki kwenye mambo yasiohusiana na vinywaji. Chuki inaleta sonona na ugonjwa wa moyo.Huyo unayemchukia hata hakujui unaumia wewe tu.
Tofautisha kati ya ukweli na chuki! Mimi nimchukie huyo mwekezaji wenu kwa lipi hasa?
 
Tofautisha kati ya ukweli na chuki! Mimi nimchukie huyo mwekezaji wenu kwa lipi hasa?
Ukweli upi?Wewe kinachokusumbua nini?Wewe sio mwanachama wala mpenzi wa Simba.Kinachokuuma ni nini haswa?Kuna pesa yako inatumika?Wanachama na wapenzi wanamkubali wewe kiherehere cha nini kama sio chuki?
 
Punguza kuandika magazeti, hii weekend anyway ntasoma J3[emoji23][emoji23]
 
Umesahau kwamba Mo Extra iko kwenye jezi ya Simba Sports Club ulitegemea isiwe best selling soft drink kwa mileage ile ??.

Ladha yake ni addictive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…