Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Uk na USA ndio at least zinamix race kwenye position mbalimbali za juu nasio sensitive. Jaribu kuangalia nchi zingine kama Scandinavia, German etc ni ushahidi tosha kuwa watu wanalinda nchi zao hasa kipindi hiki migrants wanaongezeka. Kazi nyingi nizile za hovyo kufagia, kulea wazee, warehouse, kusambaza vyakula etc, ila sensitive area zote wapo wenyeji nazinalimit ya hali ya juu. Niwachache sana wanabahatika IT na huduma za afya Dr, nurses....Mifumo yetu nchini ni mibovu kunahatari watu Hawa wakajipenyeza sekta muhimu. Nivema kama nchi tukalinda mustakabali wa nchi yetu. Nikweli hizo jamii zakushi Somali, Ethiopia , Arab , Hindi etc wanatubagua sana tena kuliko wazungu wenyeji nchi za kigeni. Wanavitabia vya asili violence huo ni ukweli lazima wa Tanzania tuwe macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…