Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

[mention]Kosugi [/mention] hajaona hii post atakuja hapa mbio
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio kila post kama hizo mie hujibu.
Natizama kipi kinachofaa kujibu,hapo hakuna cha maana zaidi ya hatred content.
 
serikali si watu kama ww!!

Akili hizo hizo hoe hae ulizonazo ungekua umezaliwa koo za wanasiasa wangekua washakupenyaza na kiongozi!!

acha udumavu wa akili
Wewe mwenyewe unadumazwa na serikali.
 
ni jamii moja ya kijinga sana hapa duniani. ukikutana nao ulaya, wamejitangaza na wanakana kwamba wao sio waafrika, wanasema wao ni wasomali. ukiwauliza wewe ni muafrica? wanasema hapana, mimi ni msomali. kipindi cha ukoloni walidai kwa wakoloni na wao wawekewe maeneo yao special tofauti na wabantu. kulikuwa na uzunguni, uhindini (na uarabuni) na grade ya mwisho kabla ya wabantu ilikuwa ni wasomali, na waliomba kabisa waundiwe sheria itakayowatambulisha tofauti na wabantu. hata hivyo, wapo wengi tangu zamani hata kabla ya uhuru, ndio hao kina kinana na wengine.
 
ni jamii moja ya kijinga sana hapa duniani. ukikutana nao ulaya, wamejitangaza na wanakana kwamba wao sio waafrika, wanasema wao ni wasomali. ukiwauliza wewe ni muafrica? wanasema hapana, mimi ni msomali. kipindi cha ukoloni walidai kwa wakoloni na wao wawekewe maeneo yao special tofauti na wabantu. kulikuwa na uzunguni, uhindini (na uarabuni) na grade ya mwisho kabla ya wabantu ilikuwa ni wasomali, na waliomba kabisa waundiwe sheria itakayowatambulisha tofauti na wabantu. hata hivyo, wapo wengi tangu zamani hata kabla ya uhuru, ndio hao kina kinana na wengine.

Kinana kumbe ni msomali
 
ni jamii moja ya kijinga sana hapa duniani. ukikutana nao ulaya, wamejitangaza na wanakana kwamba wao sio waafrika, wanasema wao ni wasomali. ukiwauliza wewe ni muafrica? wanasema hapana, mimi ni msomali. kipindi cha ukoloni walidai kwa wakoloni na wao wawekewe maeneo yao special tofauti na wabantu. kulikuwa na uzunguni, uhindini (na uarabuni) na grade ya mwisho kabla ya wabantu ilikuwa ni wasomali, na waliomba kabisa waundiwe sheria itakayowatambulisha tofauti na wabantu. hata hivyo, wapo wengi tangu zamani hata kabla ya uhuru, ndio hao kina kinana na wengine.

IMG_4571.jpg
 
Huko kenya Idadi ya wasomali imeanza kuwatisha wenyeji ambao wamekua wakiwapokea kama wakimbizi

Ingawa kuna wasomali wakenya katika baadhi ya maeneo ambao walikuepo tangu uhuru lakini ongezeko la wasomali ambao wameingia Kenya wakikimbia Njaa, Vita na Ukame imezidi kuongezeka kiasi cha kuwatisha wenyeji.



Wakenya wanahofu watapoteza utambulisho wao kutoka nchi ya Kiafrica (bantu na nilotic) hadi kua nchi ya kisomali


This is from Kenya point of view
 
Duh, tungekuwa mabilionea, maana kama unaijuwa Kariakoo, sasa hivi restaurant nyingi sana za Wasomali, na majengo mengi makubwa makubwa ya Wasomali.
Hao watu huwawezi wewe, wamejaaliwa ujasiri. Neno "warrior" la Kingereza limetokana nao hao, katazame maana yake.

Na isingekuwa vita Somalia ingekuwa mbali sana
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma
Wakimbizi wabantu wasomali

Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040



PIA WAWEZA SOMA
Nyuzi nyingine ni kama

[emoji832]Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia


[emoji832]Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili


[emoji832] Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania

Pambana na ulofa wako mbuzi wewe, hata kula ya ni tia maji, halafu unaota kufukuza mabosi wako wanakupatia kula yako na pia ya wabongo wengi tu humu JF
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma
Wakimbizi wabantu wasomali

Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040



PIA WAWEZA SOMA
Nyuzi nyingine ni kama

[emoji832]Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia
Sumbawanga lango la wahamiaji haramu wenye asili ya Somalia


[emoji832]Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili
Somaliland kuipa KM 20 Ethiopia kwa makubaliano ya kuitambua kama Nchi kamili


[emoji832] Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Somali Bantus walikataliwa Somalia, UN waliomba warudishwe kwao Tanzania
Roho mbaya, chuki, ubaguzi na uwoga ndivyo vinakutesa ndugu. Kama unaujua vizuri wimbo wa Taifa uimbe kwa makini taratibu huku ukiutafakari nahakika maradhi yako yatapona.
 
V

Vita Imeletwa na nani?

Kama ulikuwa huelewi, mali zao Wasomali ndio zinawafanya wawe vitani.

Ulitaka wawawachie tu Wamarekani wajikombee kama tulivyowawachia sisi migodi?

Wasomali wana mali gani labda???
ubinafsi ukabila na roho mbaya ndio inayofanya wawe vitani
Kama hujui tabia za wasomali kaa kimya
 
Back
Top Bottom