Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Wasomali ni asili ya watu waliozoea violence.
Nahisi ndio maana EAC bado haijawakubalia kujiunga katika jumuiya
Mkuu, sasa hivi Somalia washajiunga EAC, ni wanachama kamili..

Pamoja na ubaguzi wao, kama wataona fursa wanazohitaji Tanzania, watajazana tu kama kawaida..
 
Mkuu, sasa hivi Somalia washajiunga EAC, ni wanachama kamili..

Pamoja na ubaguzi wao, kama wataona fursa wanazohitaji Tanzania, watajazana tu kama kawaida..
Kaka fursa sio kama hazipo zipo.
Ndio maana kitathmini EAC ndio political block yenye kukimbiliwa na mataifa mengi Afrika maana ndio yaonekana kidogo ipo active.
Ila je tuna uwezo wa kukabiliana na shida za Somalia ilhali kuna DR Congo?
Na wasomali wakorofi sana kaka.
 
Nimewahi ama tumewahi kusaidiwa na wasomali au familia ya kisomali walikuwa wanatuchukulia kama ndugu Zao kabisa,nimesoma mimi na Dada zangu elimu ya Dini, nyumbani Kwa wasomali,tumekula chakula cha wasomali wanacho Kula wao,nime nunuliwa vitu vingi na wasomali bila ubaguzi wowote,sijawahi kuona mabaya kama unavyotaka kutuaminisha Hawa jamaa wanaishi kiimani ya Dini ya kiislamu, Si dhani kama wanalengo baya lolote kama unavyotuaminisha tuwachukie.

Kwa niliyo yaona kwenye maisha jamaa wanamuweka Mungu mbele katika kila Jambo Lao ndio maana wanapofanya shughuli yeyote ya utafutaji wa Rizki wanafanikiwa.

Tuache chuki na ndugu zetu wasomali.
Kaka hatujasema kuwa wachukiwe.
Katika jamii hakuna wazuri wote na hakuna wabaya wote.
Wapo wasomali wazuri hata sie kwetu tumeoa wasomali ila hao ni waliostaarabika.
Kiasili wasomali wakorofi brother na huwa kukaa na ww mpaka damu ziendane.
Hata wahindi wanasifika wabaguzi ila mm nimewahi ishi nao na nikashea nao hadi taulo hadi sahani.
Kinacholengwa ni kua makini na hii jamii maana ni watu wanaopenda sana violence pia huwenda hata wakatumia dini kufanya violence zao.
Mimi muislam na nathibitisha hilo.
 
Kaka fursa sio kama hazipo zipo.
Ndio maana kitathmini EAC ndio political block yenye kukimbiliwa na mataifa mengi Afrika maana ndio yaonekana kidogo ipo active.
Ila je tuna uwezo wa kukabiliana na shida za Somalia ilhali kuna DR Congo?
Na wasomali wakorofi sana kaka.
Dah..
Waliowakubalia Wasomali sijui wanazingatia nini. Wao wanaweza kuja Tz, Kenya, Uganda, nk kuchuma mali, lakini nadhani ni vigumu kwa Mtanzania, nk kwenda Somalia kufanya shughuli za kiuchumi. Ni wabaguzi sana, wana udini na ni wagomvi hatari..
 
Dah..
Waliowakubalia Wasomali sijui wanazingatia nini. Wao wanaweza kuja Tz, Kenya, Uganda, nk kuchuma mali, lakini nadhani ni vigumu kwa Mtanzania, nk kwenda Somalia kufanya shughuli za kiuchumi. Ni wabaguzi sana, wana udini na ni wagomvi hatari..
Somalia hakuna economic potentials kama za Tanzania kaka.
Wao wenyewe wasomali wanaoishi Tanzania wameliongea hilo.
Kuna mzee anaitwa mzee warsame mwanae nimesoma nae ni wamiliki mojawapo wa SAMI ENTERPRISES alitamka wazi Somalia hakuna potentials kama za Tanzania.
Inamaana sisi tunakua waleaji wa mataifa mengine tujiandae kugawana keki ya Taifa.
 
Somalia hakuna economic potentials kama za Tanzania kaka.
Wao wenyewe wasomali wanaoishi Tanzania wameliongea hilo.
Kuna mzee anaitwa mzee warsame mwanae nimesoma nae ni wamiliki mojawapo wa SAMI ENTERPRISES alitamka wazi Somalia hakuna potentials kama za Tanzania.
Inamaana sisi tunakua waleaji wa mataifa mengine tujiandae kugawana keki ya Taifa.
Kweli..
Halafu wasomali ni watu hatari tu.
Angalia hapa walichowafanya Wakenya wanaopakana nao. Waliteka basi, wakaua abiria 28 wasio dini yao!!!
 
Kama una dhani ni udini nenda na pua lako pana somalia uone utavoitwa majina yote mabaya!!!….
Sina udini wwte
ubaguzi Upo Duniani Kote Usipobaguliwa Na Msomali Utabaguliwa Na Mwarabu,mzungu Au Hata Mchina.Nadhani Wahindi Ni Wengi Tanzania Kuliko Wasomali Wahindi Wamejaa Kariakoo,mnazi Mmoja,upanga,msasani Na Mikoani Mwanza Na Arusha Usiseme Je Wao Hawana Madhara?Wasomali WapoTemeke Kwa Azizi Ally Na Kariakoo Pengine Ni Wa Kuokota Okota, Ni Wazi Mtoa Uzi Katongoza Mtoto Wa Kisomali Akakutana Na Matusi.Wale Sio Wa Kutongozo Ovyo Ovyo Waone Hvo Hvo Na Mashepu Yao
 
Binafs siwapendi wasomali
bora Maana Hata Ukiwapenda Hawatakupa Chochote Nikutoe Khofu Tu Hata Wao Hawakupendi Kwanza Kiuhalisia Huwazidi Kwa Lolote Sio Elimu,uzuri Ndo Usiseme.Binafsi Nawapenda Wasomali Popote Walipo Wanaleta Maendeleo Akina Eng Helsi,bashe Popote Mlipo Mungu Awape Maisha Marefu
 
Elimu yote 7nayoijuwa leo hii duniani, kasome uelewe imetokea wapi.

Waislam ndiyo waliokustaarabisha wewe.

Au wewe siyo mstaarabu?

Miaka michache tu nyuma ilikuwa bara huko ukiongea Kiswahili wanasema anaongea "Kiisiramu".
Kwamba kuongea kiswahili ni ustaarabu kwa asilimia 60 kiswahili ni kibantu pia ni kama kisukuma tu
 
Wewe hata unachokisoma hukielewi.

East African Coast Wasomali wapo kabla ya Wabantu.
Kwenye historia mm mwepesi.ila nimezama google nkakutana na hii.wabantu walikuja east africa mika 2000 hadi 500 bc yaan kabla hata yesu hajazaliwa .kisha waarabu walikuja miaka 7000 badae .zanzibar na tanzania waazi wake wa kwanza ni wa bantu.wacush wakiwemo wstusi na wasomali ardhi yao duniani ni north africa ndo kwao
 

Attachments

  • Screenshot_20240115-164948_Chrome.jpg
    Screenshot_20240115-164948_Chrome.jpg
    180.4 KB · Views: 4
Uislam ndo umeleta Kila kitu duniani, sayansi ustaarabu nk.
😁😁😁😁😁😁. Sasa hivi hamuelewani na Bakwata
Mudi mwenyewe muasisi wa Uislamu lakini alikuwa hajui kusoma na kuandika na alioa binti wa miaka 9 kwa sheria ya sasa ni mbakaji😁😁😁
Labda vitu hivi
1. Kanzu
2. Kujitawaza kabla ya kuingia msikitini
3. Mkojo wa ngamia
4. Tende
6. Maji ya zamzam
7. Msikiti
8 Quran
Libya pale waislamu walipigana kama siyo wenyewe vile😁😁😁😁
 
Kwenye historia mm mwepesi.ila nimezama google nkakutana na hii.wabantu walikuja east africa mika 2000 hadi 500 bc yaan kabla hata yesu hajazaliwa .kisha waarabu walikuja miaka 7000 badae .zanzibar na tanzania waazi wake wa kwanza ni wa bantu.wacush wakiwemo wstusi na wasomali ardhi yao duniani ni north africa ndo kwao
Walipokuja walimkuta nani? Hilo hujalisoma?
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma


Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040
Akili za, kijinga Sana, hizi, Amani IPI hiyo, hao, wasomali wataharibu?
Ujambazi wote unaofanywa na polisi CCM, hauoni?mtwara, waliua kijana kwa sindano ya sumu, Arusha, walimbambikia MTU kesi ya, kuhujumu uchumi, wakapora 70M, kuna wemgine walipora milioni 90,dar mchana kweupe! Hatuhitaji wasomali kuharibu Amani, Amani inaharibiwa na CCM na majambazi, wao,
Wa bongo wa Bantu, acheni wivu,msomali anakuja bongo bila kitu, ana hustle, anaanzisha biashara, hotel, nk,
 
Kweli..
Halafu wasomali ni watu hatari tu.
Angalia hapa walichowafanya Wakenya wanaopakana nao. Waliteka basi, wakaua abiria 28 wasio dini yao!!!
Hao alshabaab magaidi tu
Kweli..
Halafu wasomali ni watu hatari tu.
Angalia hapa walichowafanya Wakenya wanaopakana nao. Waliteka basi, wakaua abiria 28 wasio dini yao!!!
Mimi muislam ila nasema kweli kuna jamii za mataifa fulani ni matatizo.
Yani wao matakwa yao binafsi wanayahusisha na dini mathalan Somalia,Ethiopia,Afghanistan na Pakistan.
Hao kufanya hivyo mie siwashangai ila kiufupi ni magaidi tu.
Hao alshabaab ukiwauliza wanapigania nini Somalia hawana jibu kamili mpaka wasomali wenzao wanawabeza.
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma


Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi yeyote waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.

 
Kaka hatujasema kuwa wachukiwe.
Katika jamii hakuna wazuri wote na hakuna wabaya wote.
Wapo wasomali wazuri hata sie kwetu tumeoa wasomali ila hao ni waliostaarabika.
Kiasili wasomali wakorofi brother na huwa kukaa na ww mpaka damu ziendane.
Hata wahindi wanasifika wabaguzi ila mm nimewahi ishi nao na nikashea nao hadi taulo hadi sahani.
Kinacholengwa ni kua makini na hii jamii maana ni watu wanaopenda sana violence pia huwenda hata wakatumia dini kufanya violence zao.
Mimi muislam na nathibitisha hilo.
Serikali ingekuwa ishawachukulia hatua kama Wana madhara maana wapo wanafanya mambo sijaona shida yeyote.
 
Serikali ingekuwa ishawachukulia hatua kama Wana madhara maana wapo wanafanya mambo sijaona shida yeyote.
Hivi unajua wasomali wengi Tz hujihusisha na smuggling businesses?
Km umekaa Temeke kuna wasomali wengi walibaraswa kwa smuggling.
 
Back
Top Bottom