Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

SOmalia ni mwanachama wa EAC...!

Atakaye fata ni Ethiopia, Malawi na Zambia...!

Msumbiji bado tuna mfikiria japo anaweza kuwa sehemu ya jumuiya kwa siku za usoni...!

Bila kuwa sahau wangazija huko Comoros nk
Somalia sio mwanachama wa EAC.
Ila hualikwa tu katika vikao vyake.
Kama ni mwanachama kwann rais wa Somalia alipoalikwa katika ufunguzi wa barabara za EA kule Arusha alisema anasikitishwa kutokukubaliwa kuwa mwanachama licha ya kualikwa kote na maombi alishatuma???
 
bado wewe ni mjinga na mpumbavu. matamshi ya Ja kwa kisomali ni cha. ikiandikwa joog kwa kisomali utatamka choog. jareer utatamka chareer

IMG_4487.jpg

Nadhani sasa umeelewa mjinga ni nani??


Sibahatishi naandika kitu ninachokifahamu mkuu! Nenda shule achana na stori za bibi yako [mention]FaizaFoxy [/mention]
 
Somalia sio mwanachama wa EAC.
Ila hualikwa tu katika vikao vyake.
Kama ni mwanachama kwann rais wa Somalia alipoalikwa katika ufunguzi wa barabara za EA kule Arusha alisema anasikitishwa kutokukubaliwa kuwa mwanachama licha ya kualikwa kote na maombi alishatuma???

Amekubaliwa kua mwanachama mkuu tangu 2023
 
Amekubaliwa kua mwanachama mkuu tangu 2023
Mh!!!!! Ngoja nihakikishe ila kama ni kweli amekubaliwa EAC itakua ina limbi la mataifa wanachama wenye shida maana EAC ni Tanzania pekeake yupo stable.
 
Kwa ambaye anafuatilia siasa za Kenya hawezi kukupinga. Wiki jana kuna mbunge wa Kenya mwenye asili ya Somalia aliitisha press conference kulaani kitendo fulani cha serikali ya Ethiopia dhidi ya Somalia. Tena kwenye kuzungumza akatamka maneno ya lugha fulani ya Kisomali.
Huyo ni mbunge kwenye jimbo la Kenya.
 
Huwa sikisii.

Wabantu ni wakuja tu. Olduvai hakuna mbantu wa asili ya pale, unwaona Warangi, wabantu wale? Unawaona wasandawe, wabantu wale? Unawaona wambulu, wabantu wale? Unawaona wanyaturu ambao hawajachanganya na wasukuma na wanyamwezi, wabantu wale?

Kasome kijana.

Sasa Tanzania ni Congo?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Dada historia hujui umebugi pakubwa.
Arusha wale wamasai,wamburu na Singida wanyaturu ni wahamaji .
Wamburu asili yao wanaitwa iraqw walihama miaka ya 1860s toka Capricon Ethiopia pamoja na wenzao wanyaturu ambao jina lao asili ni Arimi wao walihamia Tanzania toka Capricon miaka ya 1880s kukimbia njaa Ethiopia.
Wanyaturu hilo jina wamepewa na wanyamwezi kwa kupenda kuwinda wanyamwezi walikua wakiwaita batururu maana walikua wakitoa hiyo milio kipindi wanawinda ndio ikabadilika kuwa wanyaturu ilhali kabila lao asili ni Arimi.
Wairaqw walifikia milima mburu wamasai wakawabatiza jina wamburu maana walitia nanga milima mburu.
Na hao wamasai pia wahamiaji toka jamii za ufugaji za North Afrika .
 
Em lala utoe wenge la usingizi 😂😂😂 East africa ni ya wasomali? Au ndo methodology yenu mlionayo ili mlianzishe huku kwetu? Tutawapiga hadi tuwapande....huna hoja pitia notes zenu utajua asili yenu wapi sio kariakoo na buguruni wewe
Madam leo kabugi kihistoria.
Wamasai walihamia Tanzania toka kaskazini mwa Afrika,Wamburu kiasili wairaqw wametokea Capricon Ethiopia pamoja na wanyaturu kiasili Arimi wametokea Capricon ethiopia.
historia kabugi leo madam
 
Dada historia hujui umebugi pakubwa.
Arusha wale wamasai,wamburu na Singida wanyaturu ni wahamaji .
Wamburu asili yao wanaitwa iraqw walihama miaka ya 1860s toka Capricon Ethiopia pamoja na wenzao wanyaturu ambao jina lao asili ni Arimi wao walihamia Tanzania toka Capricon miaka ya 1880s kukimbia njaa Ethiopia.
Wanyaturu hilo jina wamepewa na wanyamwezi kwa kupenda kuwinda wanyamwezi walikua wakiwaita batururu maana walikua wakitoa hiyo milio kipindi wanawinda ndio ikabadilika kuwa wanyaturu ilhali kabila lao asili ni Arimi.
Wairaqw walifikia milima mburu wamasai wakawabatiza jina wamburu maana walitia nanga milima mburu.
Na hao wamasai pia wahamiaji toka jamii za ufugaji za North Afrika .
Wabantu ni wakuja na walikuta wenyeji ardhi hii.
 
Huna jipya,, unawachukia tu Kwasababu ni waislam
Waislamu ni watu wavurugu na vita muda wote ndiyo maana China haitaki hata kuwasikia. Waislamu wakiwa wengi huanzisha vikundi vya kigaidi
1. Sudan
2. Libya
3. Palestina
4. Somalia
5. Mali
6. Pakistan
7. Nigeria
8. Iraq
9. Msumbiji
Mfano mzuri, hapa Tanzania, wanabifu wao kwa wao na Bakwata.
Afrika ya magharibi, nchi za waislamu wanapinduana kijeshi yaani kuuana kwao ni kawaida halafu wanasingizia Marekani😁😁😁😁😁
 
Wabantu ni wakuja na walikuta wenyeji ardhi hii.
Katika makabila manne asili ya Afrika bantu,khoisan,Cushites na Nilote.Ila kabila lina mizizi yake.
East Afrika ukitoa horn of Afrika kuja mpaka South Afrika pamoja na west na central Afrika ni kwa bantu na khoisan origin.
Mamaa hivyo hakuna aliehama.
Na ukifuatilia kiasili Cushites Afrika sio kwao ni migrant kutokea Asia wale.
 
Waislamu ni watu wavurugu na vita muda wote ndiyo maana China haitaki hata kuwasikia. Waislamu wakiwa wengi huanzisha vikundi vya kigaidi
1. Sudan
2. Libya
3. Palestina
4. Somalia
5. Mali
6. Pakistan
7. Nigeria
8. Iraq
9. Msumbiji
Mfano mzuri, hapa Tanzania, wanabifu wao kwa wao na Bakwata.
Unaongea utumbo.
Bifu la bakwata hapa Tanzania halihusiani na ugaidi wala nn ni la kidhehebu.
Qatar,Kuwait,Bahrain,UAE,Turkiye, kote huko ni mataifa ya kiislam mbona hakuna ugaidi???
Hayo mataifa unayotaja yanapigania uongozi kikabila na yanatumia mwamvuli wa dini.
 
Waislamu ni watu wavurugu na vita muda wote ndiyo maana China haitaki hata kuwasikia. Waislamu wakiwa wengi huanzisha vikundi vya kigaidi
1. Sudan
2. Libya
3. Palestina
4. Somalia
5. Mali
6. Pakistan
7. Nigeria
8. Iraq
9. Msumbiji
Mfano mzuri, hapa Tanzania, wanabifu wao kwa wao na Bakwata.
Afrika ya magharibi, nchi za waislamu wanapinduana kijeshi yaani kuuana kwao ni kawaida halafu wanasingizia Marekani😁😁😁😁😁
Ndo umeongea pumba gani Sasa? Au umeshiba michembe?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Unaongea utumbo.
Bifu la bakwata hapa Tanzania halihusiani na ugaidi wala nn ni la kidhehebu.
Qatar,Kuwait,Bahrain,UAE,Turkiye, kote huko ni mataifa ya kiislam mbona hakuna ugaidi???
Hayo mataifa unayotaja yanapigania uongozi kikabila na yanatumia mwamvuli wa dini.
Sawa wewe uliyeandika nyama😁😁😁😁
Zanzibar ukila mchana, waislamu wanakuja na mafimbo wakuchape unawatamanisha kula😁😁😁
Kama waislamu wenyewe hawaelewani na Bakwata, wakiwa wengi si wataanza kuuuana wenyewe kwa wenyewe😁😁😁
 
Oman,Brunei,Morocco,Tunisia ,Algeria,Malaysia na Indonesia pia ni waislamu kuna magaidi?
Columbia wanauana kila siku ni waislamu?Jamhuri ya Demokrasia ya Congo ni Nchi ya kiislamu?Haiti wanachinjana ni waislamu?
 
Back
Top Bottom