Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

View attachment 2871947
Bibi faiza tunapoongelea East afeica cost tunamaanisha kitu kama hicho ukiacha huko visiwani

[mention]FaizaFoxy [/mention] [mention]FaizaFoxy [/mention]
East Africa coast ndiko nilikozaliwa na kukulia, unataka kunifundisha mimi? Kwetu ufukweni mwa bahari ya hindi kijana.

Naona huelewi kuwa ninaposema Wasomali walikuja kwanza Coast ya Afrika mashariki kuliko wabantu maana yake nini.

Ngoja nikueleimishe kidogo.

Wabantu wamekuja huku pwani ya Afrika Mashariki kwa njia ya bara, kukatiza misitu imewachukuwa karne nyingi sana mpaka kufika ardhi hii ambayo leo inaitwa Tanzania na kufika ufukweni, ndiyo kabisa, labda walikuja kama watumwa au wapagazi. Wakati huohuo Wasimali ambao ni Makushi, walikuwa baharini, wanazunguka bahari yote ya mashariki ya Afrika kwa mitumbwi kwa ngarawa kwa majahazi kwa meli wakifanya biashara zao na uvuvi.

Sasa utataka kushindana nao hao kuwa wewe mwenyeji huku zaidi yao? Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huioni??

Pengine wewe hata bahari huijuwi mpaka leo hii.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
East Africa vost ndiko nilikozaliwa na kulia unataka kunifundisha mimi?

Naona huelewi kuwa ninaposema Wasomali walikuja kwanza Cost ya Afrika mashariki kuliko wabantu maana yake nini.

Ngoja nikueleimishe kidogo.

Wabantu wamekuja huku pwani ya Afrika Mashariki kwa njia ya bara, kukatiza misitu imewachkuwa karne nyingi sana mpaka kufika ardhi hii ambayo leo inaitwa Tanzania. Wakati huohuo Wasimali ambao ni Makushi, walikuwa baharini, wanazunguka bahari yote ya mashariki ya Afrika kwa mitumbwi kwa ngarawa kwa majahazi wakifanya biashara zao na uvuvi.

Sasa utataka kushindana nao hao kuwa wewe mwenyeji huku zaidi yao? Ikiwa kusoma huelewi basi hata picha huoni??

Pengine wewe hata bahari huijuwi mpaka leo hii.

Basi uandike taratibu unakimbilia wap we bibi

East africa Vost= East africa cost
 
East Africa vost ndiko nilikozaliwa na kulia unataka kunifundisha mimi?

Naona huelewi kuwa ninaposema Wasomali walikuja kwanza Cost ya Afrika mashariki kuliko wabantu maana yake nini.

Ngoja nikueleimishe kidogo.

Wabantu wamekuja huku pwani ya Afrika Mashariki kwa njia ya bara, kukatiza misitu imewachkuwa karne nyingi sana mpaka kufika ardhi hii ambayo leo inaitwa Tanzania. Wakati huohuo Wasimali ambao ni Makushi, walikuwa baharini, wanazunguka bahari yote ya mashariki ya Afrika kwa mitumbwi kwa ngarawa kwa majahazi wakifanya biashara zao na uvuvi.

Sasa utataka kushindana nao hao kuwa wewe mwenyeji huku zaidi yao? Ikiwa kusoma huelewi basi hata picha huoni??

Pengine wewe hata bahari huijuwi mpaka leo hii.

Ok naona sasa umejitafuta umejipata!!
Tulikua tunaongelea Ardhi ya East africa wala si bahari !!

Wareno,wagriki,wachina wahindi na waarabu washapita sana bahari ya hindi ukanda wa East Africa lakini kupita haimaanishi walimiliki ardhi hii na haimaanishi ardhi haikua na watu!!

Plus hamna kokote tunasoma kwamba wasomali walikua mabaharia wazuri lasivo wangekua wametapakaa africa nzima.

Ingependeza ungeongea kwa takwimu bibi mtetezi wa wasomali
 
Basi uandike taratibu unakimbilia wap we bibi

East africa Vost= East africa cost
Mambo madogo hayo, namkimbilia Mohamed OD mchambuzi wa mapambano ya mazayuni na Wapalestina.
.huyo ni Muisrael Mplaestina anaongea Kiyahudi, Kiarabu na Kingereza kwa hiyo napata vitu vya ndani kabisa.

Nikimaliza uchambuzi wake huyo namsikiliza Scott Ritter, jasusi mbobe wa Kqmarekani aliyekuwa mkaguzi wa silaha za Saddam Hussein na aliyesema ukweli, kuwa hakukuta silaha za maangamizi hata ya panya, wacha binadam.

Dunia ni kiganjani siku hizi.
 
Ok naona sasa umejitafuta umejipata!!
Tulikua tunaongelea Ardhi ya East africa wala si bahari !!

Wareno,wagriki,wachina wahindi na waarabu washapita sana bahari ya hindi ukanda wa East Africa lakini kupita haimaanishi walimiliki ardhi hii na haimaanishi ardhi haikua na watu!!

Plus hamna kokote tunasoma kwamba wasomali walikua mabaharia wazuri lasivo wangekua wametapakaa africa nzima.

Ingependeza ungeongea kwa takwimu bibi mtetezi wa wasomali
Nani alimiliki ardhi wewe? Mambo ya umiliki wa ardhi yameanzishwa na mjerumani na nyerere akayafuta, hata wewe humiliki ardhi Tanzania hii, ni mpangaji tu.

Zamani watu waliamini unapoishi popote ndiyo kwako, mradi wenyeji wakukubali.

Nimejitafuta nini?

Hata bara huko, wabantu ni wakuja tu, walikuta wenyeji, pitia uzi nimeandika waliwakuta kina nani.

Unadandia basi kwa mbele halafu unajifanya unajuwa?

Huwa sikisii.
 
Mesopotamia haikuwa dola ya kiislamu.
Maana huko ndiko ilikotokea elimu hii rasmi ya kidunia na ustaarabu.
Najua utakuja kuniambia eneo hilo la Mesopotamia ya kale ndiyo eneo la ghuba kama Iraq ya sasa, nakukumbusha wakati huo hawakuabudu Mungu wa waislam Allah wala Mungu wa wayahudi na wakristo.
Uislam ulikuwa bado Sana maelfu ya miaka.
Elimu yote 7nayoijuwa leo hii duniani, kasome uelewe imetokea wapi.

Waislam ndiyo waliokustaarabisha wewe.

Au wewe siyo mstaarabu?

Miaka michache tu nyuma ilikuwa bara huko ukiongea Kiswahili wanasema anaongea "Kiisiramu".
 
Mesopotamia haikuwa dola ya kiislamu.
Maana huko ndiko ilikotokea elimu hii rasmi ya kidunia na ustaarabu.
Najua utakuja kuniambia eneo hilo la Mesopotamia ya kale ndiyo eneo la ghuba kama Iraq ya sasa, nakukumbusha wakati huo hawakuabudu Mungu wa waislam Allah wala Mungu wa wayahudi na wakristo.
Uislam ulikuwa bado Sana maelfu ya miaka.
Twende taratibu kijana, unaelewa kuwa Chuo Kikuu cha kwanza duniani kaanzisha Muislam tena mwanamke na ni hapahapa Afrika?
 
Mambo madogo hayo, namkimbilia Mohamed OD mchambuzi wa mapambano ya mazwyuni na Wapalestina.
.huyo ni Muisrel Mplaestina anoongea Kiyahudi, Kiarabu na Kingereza kwa hiyo napata vitu vya ndani kabisa.

Nio8malizq uchambuzi wake huyo nams8kiliza Scott Ritter, jasus8 mbobe wa Kqmarekani aliyekuwa mkaguzi wa silaha za Saddam Hussein na aliyesema ukweli, hakukuta silaha za maangamizi hata ya panya, wacha binadam.

Dunia ni kiganjani siku hizi.

Ili ueleweke lazima uandike kwa ufasaha
Huwezi kuandika kitu kinasomeka vingine kitafsiriwe vingine haiwezekani


Punguza papara
Mazwyuni[emoji777]-Wazayuni[emoji736]
Anoongea[emoji777]-Anaongea[emoji736]
Nio8malizq[emoji777]-Namaliza[emoji736]
jasus8[emoji777]-Jasusi[emoji736]

Kama huwezi kuandika kwa lugha sahihi utaelewekaje.
Akili ilivo na wenge hivo ni ngumu sana kuelewa point na kujibu mada inayojadiliwa.
 
Ili ueleweke lazima uandike kwa ufasaha
Huwezi kuandika kitu kinasomeka vingine kitafsiriwe vingine haiwezekani


Punguza papara
Mazwyuni[emoji777]-Wazayuni[emoji736]
Anoongea[emoji777]-Anaongea[emoji736]
Nio8malizq[emoji777]-Namaliza[emoji736]
jasus8[emoji777]-Jasusi[emoji736]

Kama huwezi kuandika kwa lugha sahihi utaelewekaje.
Akili ilivo na wenge hivo ni ngumu sana kuelewa point na kujibu mada inayojadiliwa.
Mradi sikuchanganya R na L hizo ni typo za kawaida tu, hazibadili maana ya neno. Ntazirekebisha kwa raha zangu.
 
Nani alimiliki ardhi wewe? Mambo ya umiliki wa ardhi yameanzishwa na mjerumani na nyerere akayafuta, hata wewe humiliki ardhi Tanzania hii, ni mpangaji tu.

Zamani watu waliamini unapoishi popote ndiyo kwako, mradi wenyeji wakukubali.

Nimejitafuta nini?

Hata bara huko, wabantu ni wakuja tu, walikuta wenyeji, pitia uzi nimeandika waliwakuta kina nani.

Unadandia basi kwa mbele halafu unajifanya unajuwa?

Huwa sikisii.

Aliyekwambia zamani hawakumiliki ardhi nani ??
Labda huko kwenu somalia.
Jamii nyingi za kibantu hasa wakulima walimiliki ardhi na ardhi ilikua ni mali muhimu sana na ilitenganisha kati ya jamii moja had nyingine.

Hivo basi ardhi pia ilihusisha imani zao kama mizimu ambapo walikua wakitambika katika makaburi ya babu zao….

Ni ardhi hiyo waliyoimiliki ndio wakaunda na tawala na ngome!!

Kuna haja nianze kukuelezea nazo!! [emoji3]Kama nalo hujui utasema uelekezwe

Tofauti ya umiliki wa zamani ni kua kuna baadhi ya makabila ardhi ilimilikiwa na jumuiya au jamii nzima au kabila fulan au koo fulani (collectively)

Hivi sasa watu wanamiliki individual wanapewa na hati zamani hakukua na hati.
Ndio maana katika kanuni za tanzania leo kuna umiliki wa hati za kimila wa ardhi wanaelewa mfumo wa zamani wa umiliki wa ardhi na sasa ni tofauti
 
Mradi sikuchanganya R na L hizo ni typo za kawaida tu, hazibadili maana ya neno. Ntazirekebisha kwa raha zangu.

Typo ni lugha gani??


Kwani bibi ulisoma shule gani !!
Serious Tusije peleka watoto wetu huko[emoji3][emoji3]
 
Nani alimiliki ardhi wewe? Mambo ya umiliki wa ardhi yameanzishwa na mjerumani na nyerere akayafuta, hata wewe humiliki ardhi Tanzania hii, ni mpangaji tu.

Zamani watu waliamini unapoishi popote ndiyo kwako, mradi wenyeji wakukubali.

Nimejitafuta nini?

Hata bara huko, wabantu ni wakuja tu, walikuta wenyeji, pitia uzi nimeandika waliwakuta kina nani.

Unadandia basi kwa mbele halafu unajifanya unajuwa?

Huwa sikisii.

Kwa jamii ya wasomali (ambayo wewe unatokea) inaweza ikaeleweka hii mantiki kwani ni wafugaji wanahama hama ni haki kusema wahakumiliki Ardhi

Lakini si sahihi kwa wabantu umiliki wa ardhi ulikuepo hadi leo sema unaboreshwa na maandishi na mipaka ya vipimo kwa sasa
 
Kwa jamii ya wasomali (ambayo wewe unatokea) inaweza ikaeleweka hii mantiki kwani ni wafugaji wanahama hama ni haki kusema wahakumiliki Ardhi

Lakini si sahihi kwa wabantu umiliki wa ardhi ulikuepo hadi leo sema unaboreshwa na maandishi na mipaka ya vipimo kwa sasa
Wabantu siyo wafugaji, kasome vizuri. haohao jamii ya Kikushi ambao pia ni jamii za Kimasai ndiyo wafugaji.

Wabantu walikuwa ni watu wa mabavu tu na mpaka leo ni wa kufanya kazi za kutumia mabavu tu, watumwa wazuri.

Wakatokea waliojiongeza wakaanza kazi zingine za ufugaji, ukulima, uvuvi na sasa biashara.
 
Back
Top Bottom