Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Kweli kabisa mkuu,
Ima

Analalamikia wasomali 200,000 tu kwenye population ya zaidi ya 60m
Hapa tunalingana na UK ambayo ni kisiwa kidogo chenye watu 68m tena kadogo sana ila angalia kuna wa Asia zaidi ya 5m ambao wana changia pato la nchi kwa kiasi kikubwa sana
Badala tufurahie wanatuletea maendeleo na kodi nchini tunapiga keleleView attachment 2871276

Shida ni mentality yao!! Kama wamewafukuza nchini kwao wasomali wenzao kwa kua tu n wabantu tukawapokea tanzania tena tunawaleta walewale waliowatukuza na kuwaua unaona inaleta sense!!!


Wasiwasi ndio akili
 
Shida ni mentality yao!! Kama wamewafukuza nchini kwao wasomali wenzao kwa kua tu n wabantu tukawapokea tanzania tena tunawaleta walewale waliowatukuza na kuwaua unaona inaleta sense!!!


Wasiwasi ndio akili
Kwanza uelewe kwamba hakuna aliyewafukuza somali bantus wenye uwezo waliondoka kama wasomali wengine kwa sababu ya vita.Majority ya pande zote mbili walibaki Somalia na wanaendelea kuishi na ndio wakulima wakubwa wa ndizi,matunda,mahindi na mihogo.Na ndio supplier wakubwa wa vyakula na matunda Somalia. Kwani sehemu wanayoishi kwenye mito Shabelle na Juba ndio sehemu zenye ardhi yenye rutuba sana Somalia.
 
Shida ni mentality yao!! Kama wamewafukuza nchini kwao wasomali wenzao kwa kua tu n wabantu tukawapokea tanzania tena tunawaleta walewale waliowatukuza na kuwaua unaona inaleta sense!!!


Wasiwasi ndio akili
Mkuu ukiangalia ukweli hao hawakufukuzwa kama tulivyoaminishwa na wavuruga amani nchini bali walikimbia vita ya huko na kuamua kurudi kwa ndugu zao wa zamani

Hii habari soma na waandishi ni wazungu wala sio wasomali wala watz wala wakabila
Ni uzushi tu kuwa walifukuzwa mbona walikimbia mpaka wasomali wengine wengi tu na kuingia Kenya?

Hebu soma hiyo makala kamili ya Somali Bantu Refugees
Screenshot_20240114_114423_Chrome~2.png
 
Unafuatilia mambo ww au unasema tu!!

unajua ni wabantu wangapi nje ya somalia wanaookolewa kutokana na Ethnic cleansing!!

Nimekuwekewa na headline hapo!!
Mkuu tatizo la sisi ni chuki baina yetu ndio maana hata sisi wakija Waethiopia wakimbizi watawekwa mbele ya makamera na polisi wanapiga nao picha kama wahalifu

Kila leo tunapiga kelele tabia ya kuwafanya wahalifu ndugu zetu sio vizuri,
Ukimbizi unakubalika na ipo kisheria zipo nchi wanaopokea na kupewa hela za wakimbizi kama sisi
Na wapo wasiopokea wakimbizi ila wanachangia kiasi kikubwa cha fedha kwa Umoja wa mataifa

Wakati Wasomali wanapigana vita ya ndani kumuondoa Siad Barre
Wengi walikimbia wakaingia Yemen ila walipofika pwani ya Yemen wengi waliuwawa na wanajeshi na kuzama baharini

Lakini mambo yakageuka baada ya miaka na Saudia wakaanza kumchapa Yemen kwa makombora na ndege za kivita
Wakakimbia nao kupata hifadhi Somalia
Ila Somalia hawakulipa kisasi kama mnachotaka nyie wafanyiwe bali waliwakaribisha na kuwapa hifadhi na chakula pia

Leo wapo bado na wanaishi na biashara wameanza na kuna mpaka Waalimu wa shule na wafanyakazi sehemu nyingi tu na maisha yanaenda

Dunia hii haiendi kwa matakwa ya watu bali inatokea tu kulingana na maisha yalivyo

Sioni sababu ya kuwa na chuki kwa binadamu yeyote
Mimi leo nifanyie ubaya ila kesho ukiugua nakuja kukupa pole na kama unahitaji nakusaidia bila kuangalia ulinifanya nini

Uwe na siku njema
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hilo lingine lakini wabantu wapo Somalia miaka mingi sana na wana maisha kama raia wa kawaida
Kuhusu kufukuzwa hiyo ni siasa zaidi na sio vingine

Tz mpaka leo kigoma ni kama nchi jirani na mnawasumbua Waha kila kukicha je hilo unalisemea vipi?
Unajua ninakuonaje?.
Vile ambavyo we ungeliniona mimi endapo ningelisema marekani hakuna ubaguzi kwasababu niliwahi hudhulia tuzo za M-beat nikaona mtu mweusi( Chinggy) akipewa tuzo.
Fact za kihistoria,wahanga nk..unazikata then na kutoa ushahidi wako wa kwenda somalia na kukuta wabantu wanamiliki maduka!!.
Shida kweli kweli.
 
Unajua ninakuonaje?.
Vile ambavyo we ungeliniona mimi endapo ningelisema marekani hakuna ubaguzi kwasababu niliwahi hudhulia tuzo za M-beat nikaona mtu mweusi( Chinggy) akipewa tuzo.
Fact za kihistoria,wahanga nk..unazikata then na kutoa ushahidi wako wa kwenda somalia na kukuta wabantu wanamiliki maduka!!.
Shida kweli kweli.
Mifano inatofautiana sana hii
Tuishi kwa amani tu, hakuna mtu anaeweza kuzuia uhamiaji duniani au kuzuia ubaguzi ni ngumu sana
Weusi wenyewe tunabaguana hata India wameuwa weusi na kuwabagua sana lakini hatuwezi kufukuza wahindi hapo au kufunga balozi zao
Humu tutapingana kwa hoja lakini maishi yanaenda tofauti na maamuzi ya watu wachache
 
Mifano inatofautiana sana hii
Tuishi kwa amani tu, hakuna mtu anaeweza kuzuia uhamiaji duniani au kuzuia ubaguzi ni ngumu sana
Weusi wenyewe tunabaguana hata India wameuwa weusi na kuwabagua sana lakini hatuwezi kufukuza wahindi hapo au kufunga balozi zao
Humu tutapingana kwa hoja lakini maishi yanaenda tofauti na maamuzi ya watu wachache

Kama ni hoja ! ongelea hoja lakini usipuuze ukweli wenye fact kwa hisia zako binafsi
 
Wewe hata unachokisoma hukielewi.

East African Coast Wasomali wapo kabla ya Wabantu.

IMG_4474.jpg

Hyo costal ya East africa ipi ?? costal ya somalia na sehemu kidogo ya kenya.


Huna unachokijua kuleta ubabaifu hapa
 
Hiki ndicho ulipaswa kukiongea toka hawali.
Mifano inatofautiana sana hii
Tuishi kwa amani tu, hakuna mtu anaeweza kuzuia uhamiaji duniani au kuzuia ubaguzi ni ngumu sana
Weusi wenyewe tunabaguana hata India wameuwa weusi na kuwabagua sana lakini hatuwezi kufukuza wahindi hapo au kufunga balozi zao
Humu tutapingana kwa hoja lakini maishi yanaenda tofauti na maamuzi ya watu wachache
 
Siyo wangu ni mtu amepost huu hapa[emoji117] Jamii ya wazaramo inapotea kwa Kasi

Wazaramo hawapotei wanakimbia mjini na hawawezi kuchanganyika ndio shida
Ukienda dar wengi wanakimbilia chanika huko, vikindu, na kuelea kisarawe huko


Jamii hii ni kama wandali wa mbeya wao sehemu ikianza kuwa mjini na mchanganyiko wanasogea milimani mwisho wa siku maeneo waliokua wanakaa yanakaliwa na wageni.
 
Wazaramo hawapotei wanakimbia mjini na hawawezi kuchanganyika ndio shida
Ukienda dar wengi wanakimbilia chanika huko, vikindu, na kuelea kisarawe huko
Na wanajuhudi sana kuzaliana wakikutana huko kwenye mdundiko
 
Nisome tena nimesema nini, au nirudie?

Rudia maana una hanya hanya bila takwimu !!
Makabila yote none bantu yalihamia tanzania kutoka north au horn of Africa usije na historia zako za kusema walikuwepo walikuwepo where???

Somali or somalia never existed in tanzania , mozambique

We unavosema cost of East africa unaelewa unamaanisha nini au umetumia pasipo kujua
 
IMG_4481.jpg

Bibi faiza tunapoongelea East afeica cost tunamaanisha kitu kama hicho ukiacha huko visiwani

[mention]FaizaFoxy [/mention] [mention]FaizaFoxy [/mention]
 
Back
Top Bottom