Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Twende taratibu kijana, unaelewa kuwa Chuo Kikuu cha kwanza duniani kaanzisha Muislam tena mwanamke na ni hapahapa Afrika?
Unapo zungumza elimu ilianzia ngazi ya elimu ya chuo kikuu?
Kwa sababu walioanzisha mfumo wa kwanza wa Elimu na kuanza kuandikia vitu kwenye mfumo rasmi wa maandishi ni watu wa Mesopotamia.

Wakati huo hakuna vyuo vikuu wala nini.
Unajua mfumo wa kwanza rasmi wa maandishi ulikuwa unaitwa Cuneiform uligunduliwa huko Mesopotamia katika falme ya Sumerian.

Tutajie hicho chuo kikuu cha kwanza duniani kilianzishwa lini tulinganishe na ugunduzi wa maandishi wa kwanza.
 
Una hoja lakini hii picha umeiweka sio halisi, hii ni picha ya kuongeza chumvi. Picha ya kwenye muvi hiyo bwa shee.
 
Wabantu siyo wafugaji, kasome vizuri. haohao jamii ya Kikushi ambao pia ni jamii za Kimasai ndiyo wafugaji.

Wabantu walikuwa ni watu na mpaka leo wakufanya kai za kutumia mabavu tu, watumwa wazuri.

Wakatokea waliojiongeza wakaanza kazi zingine za ufugaji, ukulima, uvuvi na sasa biashara.

Bibi leo umechoka ukalale!!

Naona huelewi kuona huoni!!

Soma kuanzia mwanzo!!
Hiyo aya nzima inawazungumzia wasomali ambao ni wafugaji hawakuwai kumiliki ardhi maana maisha yao ni kutanga tanga mpaka mmejikuta mnaifika tanzania

Hamna kitu mateso kama kukosa sehemu yakupaita nyumbani[emoji3][emoji3]
 
Wabantu siyo wafugaji, kasome vizuri. haohao jamii ya Kikushi ambao pia ni jamii za Kimasai ndiyo wafugaji.

Wabantu walikuwa ni watu na mpaka leo wakufanya kai za kutumia mabavu tu, watumwa wazuri.

Wakatokea waliojiongeza wakaanza kazi zingine za ufugaji, ukulima, uvuvi na sasa biashara.

Bibi leo umechoka ukalale!!

Naona huelewi kuona huoni!!

Soma kuanzia mwanzo!!
Hiyo aya nzima inawazungumzia wasomali ambao ni wafugaji hawakuwai kumiliki ardhi maana maisha yao ni kutanga tanga mpaka mmejikuta mnaifika tanzania

Hamna kitu mateso kama kukosa sehemu yakupaita nyumbani[emoji3][emoji3]
 
Una hoja lakini hii picha umeiweka sio halisi, hii ni picha ya kuongeza chumvi. Picha ya kwenye muvi hiyo bwa shee.

IMG_4483.jpg
 
Bibi leo umechoka ukalale!!

Naona huelewi kuona huoni!!

Soma kuanzia mwanzo!!
Hiyo aya nzima inawazungumzia wasomali ambao ni wafugaji hawakuwai kumiliki ardhi maana maisha yao ni kutanga tanga mpaka mmejikuta mnaifika tanzania

Hamna kitu mateso kama kukosa sehemu yakupaita nyumbani[emoji3][emoji3]
Kulala kunasaidia nini? Waste of time tu.
 
Unapo zungumza elimu ilianzia ngazi ya elimu ya chuo kikuu?
Kwa sababu walioanzisha mfumo wa kwanza wa Elimu na kuanza kuandikia vitu kwenye mfumo rasmi wa maandishi ni watu wa Mesopotamia.
Wakati huo hakuna vyuo vikuu wala nini.
Unajua mfumo wa kwanza rasmi wa maandishi ulikuwa unaitwa Cuneiform uligunduliwa huko Mesopotamia katika falme ya Sumerian.
Tutajie hicho chuo kikuucha kwanza duniani kilianzishwa lini tulinganishe na ugunduzi wa maandishi wa kwanza.

Bibi hawezi elewa huyu mihemuko kibao yeye anashindana kuongea[mention]FaizaFoxy [/mention] sio kuelewa
 
Unazeeka vibaya ndugu yangu


Uzee umekuletea Psychosis
Kuzeeka nizeeke mimi tatizo upate wewe, majanga.


Naona umepigwa nyundo juu huko, umeleta picha ya movie kuidanganya jamii, watu wamekustukia sasa unaniandama mimi binafasi.

Niko hapa kujadili mada sipo hapa kujadiliwa au kujadili mleta mada yeyote.
 
UKIONA MSOMALI ANAKUITA GAWESHI UJUE ANAKUTUKANA KUA UNAPUA NENE YA KIBANTU
hujui lolote kisha unajidai unajua.

kila kabila lina jina la madharau linalo ita kabila lingine. kwa mfano wa masai wanaita makabila mengine ormekii, borana :gurale , Arab: abid , wameru :kimalando ,somali: adon au charer. hilo gaweshi si kisomali labda ni kabila lako
 
hujui lolote kisha unajidai unajua.

kila kabila lina jina la madharau linalo ita kabila lingine. kwa mfano wa masai wanaita makabila mengine ormekii, borana :gurale , Arab: abid , wameru :kimalando ,somali: adon au charer. hilo gaweshi si kisomali labda ni kabila lako

Wasomali wanaita Jareer siyo charer

Charer [emoji777]= Jareer[emoji736]
 
Hujakosea mkuu.
Kama wao wenyewe tu wanauana kisa ukabila je asili tofauti itakuaje?
Wasomali ni asili ya watu waliozoea violence.
Nahisi ndio maana EAC bado haijawakubalia kujiunga katika jumuiya licha ya wao kuhudhuria vikao kama waalikwa na licha ya kuomba maombi kabla hata ya Congo.
Hawa jamaa hawafai hata kwa kurumagia
SOmalia ni mwanachama wa EAC...!

Atakaye fata ni Ethiopia, Malawi na Zambia...!

Msumbiji bado tuna mfikiria japo anaweza kuwa sehemu ya jumuiya kwa siku za usoni...!

Bila kuwa sahau wangazija huko Comoros nk
 
Kuzeeka nizeeke mimi tatizo upate wewe, majanga.


Naona umepigwa nyundo juu huko, umeleta picha ya movie kuidanganya jamii, watu wamekustukia sasa unaniandama mimi binafasi.

Niko hapa kujadili mada sipo hapa kujadiliwa au kujadili mleta mada yeyote.

Hiyo ni picha ya movie ya kimarekan ikiwakilisha somali piracy!!
Najua na nimeiweka makusudi kama ulikua hujui ni ww !!

IMG_4485.jpg

Kwaiyo ulishindwa hata kumtambua Barkhad Abdi??
Sikujua kama unaweza tumia picha kama propaganda.

Picha halisi zipo lakini sijapenda kufanya issue serious badala iwe kama mjadala!! Lakini picha halisi zipo zaidi ya 10000
 
bado wewe ni mjinga na mpumbavu. matamshi ya Ja kwa kisomali ni cha. ikiandikwa joog kwa kisomali utatamka choog. jareer utatamka chareer

Hapa kuna matamshi au kuna maandishi nielimishe mjinga mm

Matamshi yanawasilishwa na nn??
 
Back
Top Bottom