Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Ongezeko la wasomali Tanzania linaweza kutishia Amani na Kutufanya vibaraka siku za usoni!!

Em lala utoe wenge la usingizi 😂😂😂 East africa ni ya wasomali? Au ndo methodology yenu mlionayo ili mlianzishe huku kwetu? Tutawapiga hadi tuwapande....huna hoja pitia notes zenu utajua asili yenu wapi sio kariakoo na buguruni wewe
Wewe hata unachokisoma hukielewi.

East African Coast Wasomali wapo kabla ya Wabantu.
 
Wewe hata unachokisoma hukielewi.

East African Coast Wasomali wapo kabla ya Wabantu.
Dada elimu sio jadi yenu , ni vile tu vyuo vya ifm na unesi vinawasaidia baadhi ndo sasa mnatka kuvuka mipaka hadi ardhi za wenzenu mnasema zenu soma hapa sasa
1. khoi khoi na san hunters ndio walikua wakwanza kufika kwenye coast za east africa. Kupitia pande za kusini mwa Tanganyika i.e songea na mbeya ya sasa pia walipita kenya.

2.Halafu wakaja wa bantu wote hawa ni weusi miaka ya 500A.D kupitia central africa na walikaa sana na kutawala East africa kwa muda mrefu mpka kuzaliwa makabila mengi na chifu nyingi.
3. Nyie asili ya kushite mlikuja baadae sana kupitia north africa ambapo ndo asili yenu kuu nyie na wa ethiopia,tutsi ni asili moja na mlifika 1000 A.D

N.B uliwahi kujiuliza vita ya watutsi na wabantu ili sababishwa na nini na wakina nani ni wenyeji ?


Narudia tena soma, soma, soma, usikurupuke tu kuleta hoja mama na huna fact mwarabu koko!!!
 
Dada elimu sio jadi yenu , ni vile tu vyuo vya ifm na unesi vinawasaidia baadhi ndo sasa mnatka kuvuka mipaka hadi ardhi za wenzenu mnasema zenu soma hapa sasa
1. khoi khoi na san hunters ndio walikua wakwanza kufika kwenye coast za east africa. Kupitia pande za kusini mwa Tanganyika i.e songea na mbeya ya sasa pia walipita kenya.

2.Halafu wakaja wa bantu wote hawa ni weusi miaka ya 500A.D kupitia central africa na walikaa sana na kutawala East africa kwa muda mrefu mpka kuzaliwa makabila mengi na chifu nyingi.
3. Nyie asili ya kushite mlikuja baadae sana kupitia north africa ambapo ndo asili yenu kuu nyie na wa ethiopia,tutsi ni asili moja na mlifika 1000 A.D

N.B uliwahi kujiuliza vita ya watutsi na wabantu ili sababishwa na nini na wakina nani ni wenyeji ?


Narudia tena soma, soma, soma, usikurupuke tu kuleta hoja mama na huna fact mwarabu koko!!!
Elimu yote 7nayoijuwa leo hii duniani, kasome uelewe imetokea wapi.

Waislam ndiyo waliokustaarabisha wewe.

Au wewe siyo mstaarabu?

Miaka michache tu nyuma ilikuwa bara huko ukiongea Kiswahili wanasema anaongea "Kiisiramu".
 
Elimu yote 7nayoijuwa leo hii duniani, kasome uelewe imetokea wapi.

Waislam ndiyo waliokustaarabisha wewe.

Au wewe siyo mstaarabu?
Siwezi bishana na wewe nimekupa fact una toka kwenye mjadala sasa uislamu unaingilia wapi sasa kwenye first settlers in east african coast ndo maana tunasema mnatka kuleta jihad sidhani kma lengo lenu litafanikiwa kwa dunia ya ssa labda mzaliane tu tumix tupate machotara flani😂😂 mpka hapo huna cha kujibu
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma


Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040
Wanatakiwa kuongezeka kuwa wengi,Taifa kujaa Majitu mengi majinga kama mtoa mada yasiyo na akili ni hatari kwa Ustawi.

Wasomali kuanzia kina Kinana,Bashe na Hamza wanahitajika sana
 
Kama wasomali wenyewe kwa wenyewe lugha, dini, taifa moja wanashindwa kuishi kwa amani
Itawezekana vipi waweze kuishi na jamii nyingine kwa amani
Ile barabara ya Arusha namanga nani asiyejua visanga vya wale wasomali wahuni.
 
Huijuwi Tanzania. Waulize Arusha na Moshi, yote ile zamani ilijaa Wasomali na Wahabashi.

Kitu ambacho hukielewi kijana ni historia yako ya ukweli.

Pwani ya Afrika Mashariki, Wasomali ni kwao, wabantu mlikuja tu kutikea nagharibi.

Msijifanye mazayuni sasa kuwa imeshakuwa yenu peke'enu hii nchi.

Unapoisikia "mbarawa" elewa kuwa ndiyo wenye asili yao. Wasomali hao.

Nenda kawaulize wazigua wakueleze.

Hapa ww mbibi unapotosha !! hii si kenya kenya ndio wamepakana na inaleta sense kwan maeneo ya mandela, garissa ni sehemu ambazo waliishi tangu uhuru.
wasomali asili yake n pembe ya africa nako walihamia kutoka ukanda wa misri !!

Kati ya makabila 100 na kitu yaliyounda tanzania kipindi cha uhuru hamna kabila la wasomali
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma


Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040
Kwanini uwe kibaraka?
 
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi.

Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto hata 6 au 7 na huamini kila wanapoenda kuwazidi wenyeji .
Pia ukabila na ubaguzi ni asili yao ukiona kwao wanavokataa huku wakiwapoteza jamii nyingine ambazo si wasomali ili kudai kwamba somalia ni 100% somalis by ethnic utashangaa . Ni wazi baadae tutakuja kupoteza uhuru wetu ni swala la muda kabla ya kuanza kujipenyeza kwene serikali na kushika dola.

Kwa bahati mbaya nchi zetu huwa hazina mtazamo wa miaka 50, au 100 mbele hivo kushituka mpaka iwe too late

UBAGUZI DHIDI YA JAMII NYINGINE

Somali bantu Vs somali

Miaka ya 1999-2000 Baada ya kuanza machafuko walianza kuwa ua wasomali bantu waliozaliwa na kuishi Somalia hata kabla ya mkoloni wakisema kwa kigezo kua waliletwa kipindi cha utumwa. Hata kama waliletwa kipindi cha utumwa na waarabu nchi inavopata uhuru raia wote walionchini wanakua raia.
Lakini ni tofauti kwa hawa watu wana chuki sana na ubaguzi waliendesha kampeni za mauaji au unyanyasaji mpaka tanzania iliamua kuwapokea wasomali bantu au jareer kama wanavowaita wao.

Mfano mzuri wa hawa jamaa ni huu uliotokea 2021 : Yule msomali aliyebeba silaha kwenda kupambana na polisi sasa hii ndio asili yao.Wanaamini katika vita na mtutu

Kenya hapo leo wanajuta na bado Hawajasema.

Inakadiriwa kati ya Bantu somali 1500 walipokelewa na tanzania na kupewa uraia. Na wengine walipewa uraia na kenya.

Pia waweza soma


Bantu somali wengi leo wapo US ambako walipewa hifadhi kwan walikua target ya makundi ya kisomali na kuwanyang’anya ardhi yao yenye rutuba ambayo walikua wanalima.

pia waweza soma


Ikumbukwe kua wasomali wao wengi ni wafugaji na bantu somali wao ni wakulima.
Bantu somali waliishi sana Jubaland ambako ndio walilima na kuzalisha mazao mengi ya chakula.


Uzi huu haufai kumuudhi waweza bisha kwa takwimu pia itapendeza.View attachment 2871040
Hili nalo neno.

Tayari wameshajipenyeza kila mahali.Makamu Mwenyekiti CCM ni msomali.Waziri wa Kilimo msomali,Rais wa TFF msomali huko Yanga ndio usiseme lazima hii jamii iliyojaa laana idhibitiwe mapema.
 
Kama una dhani ni udini nenda na pua lako pana somalia uone utavoitwa majina yote mabaya!!!….
Sina udini wwte
Kwa kweli hili sio kweli kabisa
Nimetembelea miaka ya nyuma Mogadishu
Hakuna majina wala ubaguzi
Wapo bantu kibao na wana biashara nyingi sana na mpaka polisi na jeshi wamo
Kama hujafika usiwalishe watu habari zisizo za kweli sio vizuri

Wakenya ndio walianzisha hii mada na kusema baada ya miaka 50 wasomali watawatawala huku wakijua fika kuna mikoa ya wasomali na ni wakenya kama wao
Na wanasoma haswa na ni vichwa

Niko Ulaya sijawahi kusikia haya mambo kwa wazungu dhidi ya wengine, maana mazungu yanasoma haswa na sio kukariri
Ila kwenye biashara wahindi wamo sana na tajiri wa kwanza UK ni muhindi na wa tano muhindi pia


Pambaneni kwa akili na muwe na maisha na ardhi ni yenu nunua sehemu za kati mjini jenga wakodishie kwa bei mbaya
Na nyie zaeni sana
Nchi nyingi duniani matajiri wakubwa ni foreigners.

Unajua kwa nini?
Wanapoingia kwenye nchi ngeni hakuna kitu kirahisi kama kuanza biashara maana serikalini hawawezi kuingia na hata maofisini kwa vigezo vya nchi

Wengi wao ni biashara au kazi za mkono ila wanaweka akiba sana

Kuna siku nilikuwa duka la mhindi West London akaingia mzungu kuongezea pombe za kopo akiwa kalewa
Akamwambia yule mhindi how come you are so rich and I'm poor?
Mhindi akamwambia kiasi wewe unalewa miaka 25 ninayokujua mimi nilikuwa napokea akiba yako unayonunulia pombe

Sasa kama akiba yako inaishia kwenye pombe na Malaya wakati opportunities zimejaa na ardhi yenu kwanini ikuume?

Kuna nchi 11 Latin America zilikuwa na wapo marais wenye asili ya kiarabu unalijua hilo?
Na wao ndio wamewachagua
 
Kwa kweli hili sio kweli kabisa
Nimetembelea miaka ya nyuma Mogadishu
Hakuna majina wala ubaguzi
Wapo bantu kibao na wana biashara nyingi sana na mpaka polisi na jeshi wamo
Kama hujafika usiwalishe watu habari zisizo za kweli sio vizuri

Wakenya ndio walianzisha hii mada na kusema baada ya miaka 50 wasomali watawatawala huku wakijua fika kuna mikoa ya wasomali na ni wakenya kama wao
Na wanasoma haswa na ni vichwa

Niko Ulaya sijawahi kusikia haya mambo kwa wazungu dhidi ya wengine, maana mazungu yanasoma haswa na sio kukariri
Ila kwenye biashara wahindi wamo sana na tajiri wa kwanza UK ni muhindi na wa tano muhindi pia


Pambaneni kwa akili na muwe na maisha na ardhi ni yenu nunua sehemu za kati mjini jenga wakodishie kwa bei mbaya
Na nyie zaeni sana
Nchi nyingi duniani matajiri wakubwa ni foreigners.

Unajua kwa nini?
Wanapoingia kwenye nchi ngeni hakuna kitu kirahisi kama kuanza biashara maana serikalini hawawezi kuingia na hata maofisini kwa vigezo vya nchi

Wengi wao ni biashara au kazi za mkono ila wanaweka akiba sana

Kuna siku nilikuwa duka la mhindi West London akaingia mzungu kuongezea pombe za kopo akiwa kalewa
Akamwambia yule mhindi how come you are so rich and I'm poor?
Mhindi akamwambia kiasi wewe unalewa miaka 25 ninayokujua mimi nilikuwa napokea akiba yako unayonunulia pombe

Sasa kama akiba yako inaishia kwenye pombe na Malaya wakati opportunities zimejaa na ardhi yenu kwanini ikuume?

Kuna nchi 11 Latin America zilikuwa na wapo marais wenye asili ya kiarabu unalijua hilo?
Na wao ndio wamewachagua

Mijitu ignorants kazi yao kubwa kusambaza chuki na hofu....anazungumzia Somalia na hajafika
 
Kama nchi iliwamudu Wahutu (Waha, Wanyamwezi, Wasukuma) na Watusi (Wahangaza, Wazanaki) na Wakikuyu (Wachagga) watawashindwa Wasomali?
 
Back
Top Bottom