STRAGGLE MAN
JF-Expert Member
- Jan 10, 2018
- 698
- 613
Natetea apo kwenye bangi, bangi inasaidia kukata harufu mbaya kinywani, kwa sababu inauwa vijidudu, ukishakuvuta ukipiga mswaki ipasavyo mdomo unakua uko salama, sigara ndio inasababisha arufu[emoji24]Mtu anavuta bangi, Sigara, pombe, anakula Furu, Kambale, dagaa, Nyama za ajabu ajabu kwanini asinuke mdomo.
Kuna kijana mmoja alikuwa anakaa karibu na kwetu.Enzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hiiiii! utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.
Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!
sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
wapo mkuu, wamejaribu kujipaka mapafyumu na kusugua meno kwa dawa.....lakini waapi baada ya lisaa wanageuka mizoga midomoni kwao hahahaDuh.! Kwa hiyo hata humu jukwaani wamejaa marehemu?
Maana kuna midomo huwa inatoa harufu humu
Humlambi ulimi?Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.
Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!
sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahMimi kuna mmoja nilinunua line ya cm nikawa namtumia sms kuhusu hilo tatizo. Nikawa namtumia hata tukiwa ofisini kwa kuwa tulikuwa wengi hakujua ni nani, na nikawa namuelekeza kusugua sana ulimi. Sasa hivi naona yuko shwari.
Hiyo dawa ya mba ungeisema hapa ungesaidia wengi.Mimi kuna mdada namjua ni mrembo haswaa pia ni rafiki yangu ana tatizo la ugonjwa wa mba kwenye ngozi na kinywa kutoa harafu mbaya.
Hii ya mba nilimshauri akanunue dawa yake akasema alishatumia dawa mbali mbali lakini haponi nikamwambia ngoja nitakuletea dawa naikaenda kuitafuta dawa fulani hivi ya maji nikamletea sasa hivi mambo yanaenda vizuri!!
sasa tatizo ni hapa kwenye kinywa sijui hata nimuanze vipi kumwambia, naona ugumu sana kumwambia cha kufanya!!!
LAKINI UKUMBUKE HUU NI MFUNGO NA WATU HAWARUHUSIWI HATA KUSUKUTUA KWA MAJI HIVYO KUNUKA NI LAZIMA! KUTWA NZIMA MDOMO HAUNA KITU LAZIMA UNUKEEnzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hiiiii! utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulitaka kupiga chafya kwa kilughaSiku moja niko Tanesco igogo mwanza pale ofisini akaja mwana mama rika la kati kapendeza vizuri akaja nilipokaa akakaa akanisalimia akatoa makaratasi samahani mzee wangu nisaidie kusoma hii form sijui hata walivyonijazia aisee nilitamani kupiga chafya kwa kilugha ila nikaogopa uhamiaji si kwa harufu ile
Asante Kwa mada nzuri .Ukipiga mswaki meno na hata ulimi ,kinywa kitanukaa tuu .UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUFLASS MENO ,YAANI KUNA UZI WANAUZA PHAMACY SHS 7000 NDIO UNAFAA KUSAFISHA JINO KWA JINO HAKIKISHA UNATOA MABAKI YOTE YA CHAKULA YANAYOBAKI KATI YA JINO NA JINO KWA MAELEZO ZAIDI NI PM NITAKUFUNDISHA NAMNA YA KUFLASS KWA WALE AMBAO HAWAJUI .Enzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hiiiii! utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
mzee hujasoma vizuri kumbe! mbona nimesema rafiki yangu!Kwa hio mzee unanyonya denda??
unajua ingekuwa kuna lugha au maneno mengine ya kutumia ungeweza kutumia mkuu lakini maneno yote kuhusu kichwa ni makali sana.Muambie indirect kuhusu kunuka mdomo,mwambie kama stori tu kua;
"Kuna rafiki yako alikua na tatizo la kunuka mdomo ila akatumia dawa fulani tatizo lake likaisha!"
Hapo lazima atakuuliza; "alitumia dawa ya aina gani?"
Nawe hapo ndipo utakapo anza kufunguka.
safi sana mkuu, hongera sana mimi siju nimuanze vipi!!Mimi kuna mmoja nilinunua line ya cm nikawa namtumia sms kuhusu hilo tatizo. Nikawa namtumia hata tukiwa ofisini kwa kuwa tulikuwa wengi hakujua ni nani, na nikawa namuelekeza kusugua sana ulimi. Sasa hivi naona yuko shwari.
ha ha haaa!! wewe naye haujasoma nilivyoandika kumbe!!Humlambi ulimi?