Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko kwenye kichupa fulani cha plastic maji yake kwa ndani yana rangi ya kijani, ngoja nikikumbuka jina nitakwambia mkuu!Hiyo dawa ya mba ungeisema hapa ungesaidia wengi.
Jifunze kuandika kwa aya..pia fuata taratibu za uandishi kama matumizi ya alama za uandishi(.,!?:😉Enzi zetu wakati tunasoma usafi ulizingatiwa mashuleni na walimu wetu mwanzo mwisho tulikaguliwa kuanzia meno kola ya shati kucha nywele yote hii kuhakikisha tunakuwa simart ila siku hizi kuna ongezeko la vijana kutoa harufu mbaya kinywani unakuta mtu kavaa nadhifu kabisa ngoja akuongeleshe hii utafikiri mwaloni kirumba soko la dagaa halafu hata hawajishitukii sasa tuwaulize walimu na wazazi wa siku hizi hamkagui usafi kama enzi zetu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Duh.! Kwa hiyo hata humu jukwaani wamejaa marehemu?
Maana kuna midomo huwa inatoa harufu humu
Jukwaa LA siasa na kunuka mdomo wapi na wapi?
Ha ha aKunuka mdomo "kisiasa" maana yake ni kuhubiri siasa za maji -taka.