Ongezeko la Wazanzibar kumiliki ardhi Matombo Morogoro linatisha

Hapo wazenji ndo wameliwa kwenye hiyo kamari wanaijenga Tz wanapatelekeza kwao kizmkazi, waache walipe kodi waijenge nchi hiyo ardhi ya matombo hawataihamishia zenji na kwa uchache wao baada ya vizazi vichache watamezwa
 
Hao ni Watanzania wenzetu kule Bukoba na hata baadhi ya Maeneo ya Morogoro na Iringa ardhi wanauziwa WARWANDA na WAKENYA hii ndio hatari
 
Hao ni Watanzania wenzetu kule Bukoba na hata baadhi ya Maeneo ya Morogoro na Iringa ardhi wanauziwa WARWANDA na WAKENYA hii ndio hatari
Sasa kama watz wenzetu kwann kumiliki ardhi kule haiwezekani ila huku wao inawezekana? Kutokana na mtoa mada anavyosema
 
Sasa kama watz wenzetu kwann kumiliki ardhi kule haiwezekani ila huku wao inawezekana? Kutokana na mtoa mada anavyosema
Mbona wanamiliki ulishawahi kufika kule mzee.. Jamaa zangu wa Kiluguru ndio wana mashamba na wanalima sana maeneo ya Kizimbani, Ndunduke, Kiboje
 
Mbona wanamiliki ulishawahi kufika kule mzee.. Jamaa zangu wa Kiluguru ndio wana mashamba na wanalima sana maeneo ya Kizimbani, Ndunduke, Kiboje
Wakifika wananunua tu hakuna process zingine? Kwahyo hapa mtoa mada katudanganya?
 
Akili yako ndogo we unaona kama matombo imehamishiwa Zanzibar wakati Iko pale pale.Wataalamu wa Ecology kutoka UNESCO Wanasema kisiwa Cha Zanzibar baada ya miaka kitamezwa na Bahari hasa ikianza Pemba.Ndo maana huruhusiwi kuchimba mchanga make kinaliwa na Bahari kidogo kidogo.
 
Niliwahi kupiga stori na mzee mmoja mkongwe sana! Nikamuuliza kwanini Mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Mjini Magharibi wakati rahisi kwa Mzanzibari kumiliki ardhi Sengerema!
Alinipa jibu kuwa Muungano unawafaidisha tu Wazanzibari na sio Watanganyika! Huruma yetu ya kipimbi ndo inatuchoma! Tanganyika haina watanganyika bali kuna watanania bara!
 
Njoo na Dodoma uone
 
Siyo kweli!
Leta aliyenyanyasika kwa hilo hapa.
Mkuu acha kubisha, Zanzibar hawaruhusu Mtanganyika kuendesha gari bila kibali maalumu. Soma hapa kwa tasrifa zaidi
 
Muungano uvunjwe.
 
Ebwana mkuu kiwanja kiasi gani sasa pande hizo za matombo morogoro?Au kishamba kama cha ekari mbili tatu kiasi gani sasa?
 
Si tuliambiwa Tanzania ni moja? Au kuna kilichobadilika?
 
Hoja zilizotolewa hapa zote ni za kuujenga na kuuimarisha muungano wetu, zifanyiwe kazi na mamlaka husika.
 
Kiufupi ccm wanaenda ku I maliza mama Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…