Hii project sidhani kama itisha me wakat...View attachment 455587
Tazara flyover
flyover maandalizi ndio huchukua muda mrefu, lakini kazi yenyewe ya kuinua Barbara hiyo hata wiki haiishi.Hii project sidhani kama itisha me wakat...
mwaka umeisha tayari sioni kilichofanyika apo
Nikitu gani wanaafanya hapo sasaflyover maandalizi ndio huchukua muda mrefu, lakini kazi yenyewe ya kuinua Barbara hiyo hata wiki haiishi.
wapo stage za mwanzo za kuandaa flyover.Nikitu gani wanaafanya hapo sasa
inapoanzia morogoro road.pale uliokuwa uwanja wa wazi Avalon cinemaIPO wapi hii
Maendeleo yako yataletwa na wewe mwenyewe,usitegemee mtu wa kukuletea maendeotunachokitaka ni maendeleo ya watu wa kawaida wala siyo ma gorofa
inajengwa wapi na ni kwa ajili ya mabasi gani ? mkoani au daladala?New Ubungo Bas Stand
View attachment 455636
Hii sio ubungo tena mkuu.. Ila inapendeza sana. Nadhani ili kupunguza msongamano basi hawa wamiliki wa mabasi inabidi na wenyewe wajitahidi kuwa na yard zao zenye nafasi ya kutosha. Bus liingie stand linapoenda kupakia tu na si kuyalaza yote stand. Ni wazo tuNew Ubungo Bas Stand
View attachment 455636
Mabasi ya mikoani nafikiri eneo limetengwa Mbezi stand mpya upande wa juu kuna uwanja mkubwa sana.inajengwa wapi na ni kwa ajili ya mabasi gani ? mkoani au daladala?
hii tenda wangepewa strabag, nimependa walionyo jenga kituo cha kariakoo gerezaniNew Ubungo Bas Stand
View attachment 455636
Huna taaluma ya ujenzi.unadhani linajengwa banda la kuku hapo?Hii project sidhani kama itisha me wakat...
mwaka umeisha tayari sioni kilichofanyika apo
Kausha ww kwani nilazima uongeeHuna taaluma ya ujenzi.unadhani linajengwa banda la kuku hapo?
Ahaa!! Kila siku nikipita pale najiuliza nini kinajengwa. Asante kwa kunifahamisha.
wewe ndio hutakiwi uongee.unataka ujenzi uishe ndani ya mwaka mmoja!!!Kausha ww kwani nilazima uongee