Ongoing projects in Dar es Salaam Tanzania East Africa 2017

taratibu ndiyo tunasonga huko ile ya chalinze itakuwa na 6lane hapa katikati ya jiji vitu hivyo havitofanuika ndiyo maana tumeweka brt huku pembezoni mwa mji ndiyo tutaenda napo vizuri sababu ni kupana na kuna nafasi
 
Project nzuri sana na itakuza jiji haraka! Tatizo je kwa wakati huu wapo wa kuzijaza!!? Kama wageni wanaondoka na wafanya biashara wanafunga biashara haya si yanakuwa magofo!!?
akitoka huyu anaingia mwingine mwanzo tulilala ila kwa sasa wawekezaji wanamiminika jiji linaelekea katika kiwango kizuri ksbisa tusiwe na shaka
 
Tatizo ni halmashsuri zilizopo zote ni mzigo! Ilipaswa zivunjwe zote kiundwe chombo kama tume au mamlaka. Ukiangali city cetre jinsi ilivyo inatia aibu, mvua ikipiga shida, njia za waenda kwa miguu shida, parking shida, bustani halikadhalika, barabara zote ni mbovu.
 
kweli kabisa
 
Kuna k2 kimoja ukijue, Tanzania hatutegemei wageni hata!! Zimbabwe, Kenya na SA zmejengwa na Wageni ila nikisema Tanzania nazan unajua imejengwa na nani? [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

~Cmb
safi sana
 
Kwahiyo Dodoma mnakohamia hakuna hata project moja? Acheni utani jamani..
dodoma zipo ila kama unaweza anzisha thread .......utapata msaada hapa si mahsla pake......twende kwa misingi hatua kwa hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…