Ongoing projects in Nairobi, Kenya E.A ( Counterpunch)


Songs of Lawino is no from Nigeria or by a Nigerian.
Hivi waTz mna midomo mirefu na uongouongo tupu!
Hata Afrika Mashariki hamuijui vyema......Songs of Lawino was written by Okot P'bitek a UGANDAN!
Maybe from ACHOLI tribe which is part of the larger East African LUO.
Pata darsa mwana!
 

Nishakueleza mara nyingi tu mimi siishi bara hilo lenyu la Afrika, laiti ungalijua naweza kukununua wewe pamoja na ukoo wenyu wote kama watumwa nikawatia kwenye merekebu hadi Marekani hungetapika ushuzi humu.
Kipande changu cha ardhi tena cha kwanza nilikinunua mwaka wa 2007 nikiwa miaka 18 tu,na bado nlikua na nilicho kirithi toka kwa baba,labda ulikua bado kwenye nepi unajinyea weye mwana.
Mara nyingine jifunze kuwa na staha,humu jukwaani humfahamu yeyote.

Pathetic!
 
Kwikwikwikwi. Kwahiyo wewe mkenya mweusi tiiii. Unajifanya mzungu sio? Kwahiyo bara lako ni lipi? Kwanini usiishi Kenya kwenu. Umekimbia kwa sababu ni nchi mbayaaaaaa? Sasa kwa taarifa yako tu, nenda kaiangalie nchi yoko hiyo ya kenya japo umekimbia.

Utamwmbiaje mwenzako awe na staha wakati wewe unatoa uharo mdomoni? Tukiwa kimya msidhani kwamba hatujui chochote. Sasa yukiwapa za uso mnakuja kulia lia na kukenu kenua meno kama vichaa fulani.

Kwanza hiyo issue umeianzisha wewe tulikuwa tumeshaimaliza na Depay. Wewe umekuja na kuanza kubwekabweka kama umekurupushwa toka kwenye choo cha mabox Mathare.
Kwikwikwikwi. Ndio nyie wanaume mnaolewa na wazungu huku mkichukia bara lenu.
 
Wacha kubishana na Kopo!!
Mwaka 2007 alikuwa na Miaka 18!!
Ndio kanunua kipande cha Ardhi!!!
Hahaha
Ajabu anakuambia ulikuwa kwenye nepi!!!
Kwa Tanzania kupiga kura angelipiga mwaka 2010
Yaani kwa mkapa hakuruhusiwa kuchagua !!!
Lakini anajiona mkubwa!!

Hujajua na kubaini huyo ni Nusu Kaputi!!!!
Hakuna cha Marekani wala Nini

Ukisha jua sifa kuu ya mkenya ni
Kupenda sifa na wizi
Basi yupo radhi kudanganya Anaishi Ulaya kumbe Kibera!!!
Watu zaidi ya milioni 2.5 wapo Kibera
Ikiwa Nairobi nzima ina 3ml!!!
Wacha Slum zinginezo!!!
 
Jay456watt are you ready for battle? Thread=> Battle: Dar es salaam vs Nairobi
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation


Sasa nijibu ili thread niianzishe. Hatutaki matusi tunataka kuangalia kwenye positive ways.
 
Kibera ni 2.5 sq km. Watu 2.5 million hawawezi toshea hapo. Kulingana na census ya 2009, Kibera kuna watu 170,000. 2017 estimates za serikali ni 270K maximum. NGO guys exaggerate the numbers ndio wapate more donations. Na mji wa Nairobi una watu 4.2 million si 3 million. Na Nairobi kuna slums coz the estates are well structured so the poor guys live in a specific area. Miji mingi hakuna structures, utapata jumba la kifahari katikati ya nyumba za mabati, kama Dar. Utapata miji kama Cape Town na Nairobi iko na slums kubwa kwa sababu the areas are well defined, miji kama Dar utapata sehemu za kitajiri are mixed an areas za maskini. Only around 6% of Nairobi land area has informal settlements, meaning 94% ni somethimg nice.
 
Nilisha sawazishwa hapo, ni Uganda. Nilikisoma zamani, hata sikikumbuki vyema. Hata hivyo logic itabaki palepale...tena kwa ukaribu zaidi.
 
Point yako ni ipi hasa hapa maana sikuelewi unaongelea nini. Kwahiyo matajiri waishi pekee yao sio?
 
The real size ya kibera, 2.5 sq km. Notice all the estates ziko around.
 

Attachments

  • kibbbbbb.PNG
    41.8 KB · Views: 64
Point yako ni ipi hasa hapa maana sikuelewi unaongelea nini. Kwahiyo matajiri waishi pekee yao sio?
Miji inafaa kuwa na structures. My point was to counter that guy who said Kibera has 2.5 million guys.
 
Tena umegusia na Luo, hilo liko Ke na Tz pia, kumbe na Uganda kuna generation yao,,, sa nakupa kazi,,, waelimishe wote wazaniao mauaji au unyanyasaji dhidi ya albino yako Tz tu, yako kote.

Tz wanayapinga ndo mana yanasikika, halafu ni kwa wale tu wanaouawa ukubwani. Inawezekana kwa baadhi ya nchi hata hawapati nafasi ya kuandamana au kusikika, kwakuwa uuawa uchangani. Niliuliza hapa, nani keshawahi kumuona mmasai albino?
 
Miji inafaa kuwa na structures. My point was to counter that guy who said Kibera has 2.5 million guys.
Unamaanisha nini Structured? Wewe unaishi Nairobi au Dar es salaam?
 

Nahisi huijui dar
Labda umjibu kwanza Annael unaishi mjigani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…