Oni Sigara wa BAKITA.

Oni Sigara wa BAKITA.

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
Habarini za wakati huu wadau wa jukwaa hili,natumaini mko salama na wale ambao hamko vyema poleni sana..Naam acha niende moja kwa moja kwenye content,,Kwa waskilizaji wa Clouds FM the people's Station mtakua mnamfahamu Oni Sigara ambae ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili Taifa(BAKITA)ambae pia ni Mtangazaji wa siku nyingi wa kipindi cha Kiswahili Lugha ya Taifa,,Amekua akiskika Clouds FM akitafsiri baadhi ya Maneno ya Kiswahili akiwa na Producer wa kipindi cha Power breakfast na Mtangazaji pia wa Power breakfast on Saturday cha hapo Clouds FM Bwana Phillip Mwihava Baba Habiba aka Mtozi Mwanagenzi,,Huyu mzee wangu wa Kuwasha Fegi(Oni Sigara)anafanya kazi nzuri sana kwakweli Big shout Out to him,Lakini maswali nnayojiuliza CMG humlipa au hujitolea tu coz Hasikiki Redio au TV nyingine yeyote ispokua Clouds FM tu..!!
(Pichani kulia akiwa na Mwana'Hiphop ambae pia ni Mwaharakati Nash MC kushoto)
@ChaliiYaKijengeJuu.
 

Attachments

  • oni sigara.JPG
    oni sigara.JPG
    12.8 KB · Views: 86
Hii idea kama sikosei ilianzishwa na Regina Mwalekwa (Mziwanda) wakati yupo pale Clouds, na ilikuwa kama ki segment sponsored na NBC, mkataba ulipoisha naona wakaamua kukiendeleza hivyo hivyo.

Masikitiko yangu siku zote huwa najiuliza hivi bila kuulizwa hayo maneno yooote, ambayo kwa sehemu kubwa huwa mapya masikioni kwa wengi..wasingefanya juhudi zozote za kuhakikisha jamii tunayafahamu?

Au kwao ni fahari kujiona wao ndio wanajua na sie wengine hatujui, wamejifungia tu ofisini mpaka waulizwe.

Na nilichogundua ni kuwa mengi ya yale maneno anaandaa mwenyewe Oni, na yule Bwana yeye hujifanya kuuliza, na kwa bahati mbaya wanachagua zaidi maneno yale ya 'ashakum'
 
Hii idea kama sikosei ilianzishwa na Regina Mwalekwa (Mziwanda) wakati yupo pale Clouds, na ilikuwa kama ki segment sponserd na NBC, mkataba ulipoisha naona wakaamua kukiendeleza hivyo hivyo.
Masikitiko yangu siku zote huwa najiuliza hivi bila kuulizwa hayo maneno yooote, ambayo kwa sehemu kubwa huwa mapya masikioni kwa wengi..wasingefanya juhudi zozote za kuhakikisha jamii tunayafahamu?
Au kwao ni fahari kujiona wao ndio wanajua na sie wengine hatujui, wamejifungia tu ofisini mpaka waulizwe.
Na nilichogundua ni kuwa mengi ya yale maneno anaandaa mwenyewe Oni, na yule Bwana yeye hujifanya kuuliza, na kwa bahati mbaya wanachagua zaidi maneno yale ya 'ashakum'
Very True dingii.
 
Hii idea kama sikosei ilianzishwa na Regina Mwalekwa (Mziwanda) wakati yupo pale Clouds, na ilikuwa kama ki segment sponsored na NBC, mkataba ulipoisha naona wakaamua kukiendeleza hivyo hivyo.

Masikitiko yangu siku zote huwa najiuliza hivi bila kuulizwa hayo maneno yooote, ambayo kwa sehemu kubwa huwa mapya masikioni kwa wengi..wasingefanya juhudi zozote za kuhakikisha jamii tunayafahamu?

Au kwao ni fahari kujiona wao ndio wanajua na sie wengine hatujui, wamejifungia tu ofisini mpaka waulizwe.

Na nilichogundua ni kuwa mengi ya yale maneno anaandaa mwenyewe Oni, na yule Bwana yeye hujifanya kuuliza, na kwa bahati mbaya wanachagua zaidi maneno yale ya 'ashakum'
hata wakifanya juhudi ya kutujuza hatutayatunia kwa sababu tumejikita kwenye kiswanglish [emoji23][emoji23]..

kama hapo tu umeshachomekea maneno kama "segment" "sponsored"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom