Dee Shally
New Member
- May 23, 2020
- 3
- 6
Natokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu.
Asante
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa nitashukuru sana.
Asante,,halafu nikuulize ni documents gani zenye nafaa kuwa nazo kabla sija anza kuimport onions.Wenzio wakenya wananuanua Vitunguu mkoa wa aRusha wilaya ya Karatu eneo linaitwa Mang'ola. Ni mwendo wa masaa 5 ukitokea namanga boarder
Au mnasemaje mods wa JF
ni kweli mkuuu hapo pamekucha sanaWenzio wakenya wananuanua Vitunguu mkoa wa aRusha wilaya ya Karatu eneo linaitwa Mang'ola. Ni mwendo wa masaa 5 ukitokea namanga boarder
Au mnasemaje mods wa JF
Naomba na mimi nipatie mkuu tafadhali tuwasiliane pm
Nilitaka nikuiteNaomba na mimi nipatie mkuu tafadhali tuwasiliane pm
mama wawili
Andika vizuri pleaseTanzania wakulima wavitunguu niwengi alafu mpakani baadhi ya bidhaa za chakula kama vitunguu haviruhusiwi kuingizwa na experience 4 yrs nafanya kazi mpakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako anauliza kuchukua Vitunguu Tanzania wewe unamjibu kuwa hairuhusiwi kuingiza bidhaa za chakula Tanzania...Tanzania wakulima wavitunguu niwengi alafu mpakani baadhi ya bidhaa za chakula kama vitunguu haviruhusiwi kuingizwa na experience 4 yrs nafanya kazi mpakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kuwa Kenya hawaruhusu vitunguu kutoka Tanzania au vipi mkuu.Tanzania wakulima wavitunguu niwengi alafu mpakani baadhi ya bidhaa za chakula kama vitunguu haviruhusiwi kuingizwa na experience 4 yrs nafanya kazi mpakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bossNaomba na mimi nipatie mkuu tafadhali tuwasiliane pm
mama wawili
Natumia tapatalk sipati notifications yaani.Nilitaka nikuite
Usijekuwa kama yule wa mahindi wa kule Songea.Yani umeshindwa kupata connection huko kwenu mpaka uje huku JF.kama sio tapeli itapendeza.Asante,,halafu nikuulize ni documents gani zenye nafaa kuwa nazo kabla sija anza kuimport onions.
Wakikuyu wajanja-janja sana. Chukua tahadhari ukifanya nao biasharaNatokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu.
Asante