Online Interview kwa post ya Business Development Officer

Online Interview kwa post ya Business Development Officer

Mlatino Zeshalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,130
Reaction score
3,599
Habari za kazi wakuu,

Katika jaribu jaribu nimebahatika kupata interview kwenye moja ya shirika kubwa hapa bongo na Interview itafanyika online.

Binafsi siyo mgeni kwenye interview lakini sijawahi bahatika kufanya online (face to face). Nimewahi kufanya paper ilitumwa kwa email lakini hii ya moja kwa moja tukiwa tunaonana sijawahi.

Kwa yeyote aliyewahi anipe mwongozo maana nilipigiwa simu nikaambiwa niwe SMART kimwonekano sababu watahitaji kuniona.

Asanteni
 
Habari za kazi wakuu,

Katika jaribu jaribu nimebahatika kupata interview kwenye moja ya shirika kubwa hapa bongo na Interview itafanyika online.

Binafsi siyo mgeni kwenye interview lakini sijawahi bahatika kufanya online (face to face). Nimewahi kufanya paper ilitumwa kwa email lakini hii ya moja kwa moja tukiwa tunaonana sijawahi.

Kwa yeyote aliyewahi anipe mwongozo maana nilipigiwa simu nikaambiwa niwe SMART kimwonekano sababu watahitaji kuniona.

Asanteni
Kwanza hongera sana kwa kupata nafasi hiyo ya kuitwa interview.

Tips kwa online interview:
1.Cha muhimu kabisa kwa mazingira kama ya kwetu hapa Bongo ni kuhakikisha una INTERNET CONNECTIVITY ambayo ni reliable, ina speed ya kutosha, na isiyo na mawaa yoyote...!! Yaani fanya juu chini, uhakikishe siku hiyo una internet connectivity superb, na kwa vile umeshapewa hint kuwa uwe smart, maana yake most likely watataka u turn on video, ambayo huwa inataka mtandao ambao ni stable sana, sikushauri kabisa utumie hotspot ya simu, kwani huwa haziko strong na huwa zinakata kwa mfano ukipigiwa simu. I hope una router/modem au una sehemu ambayo kuna wi-fi nzuri kama ofisi ambayo unaweza itumia. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na online interview halafu uwe na mtandao mbovu, hawaskusikii vizuri, unakata kata- Halafu ukute mwenzako unaeshindania nae ana mtandao umenyooka, anasikika bila mawaa, hapo lazima uliwe kichwa. Hakikisha kuwa unatest mitambo kabla ya interview yenyewe, kwa kumpigia mshikaji wako kwa zoom kwa kutumia mtandao na laptop utakayotumia ili kutest kama ankusikia vizuri na kama mtandao uko poa.
2.Tafuta sehemu yenye ukimya na utulivu, isiyo na makelele-Hakuna kitu kibaya kama upo kwa interview online halafu zinasikika kelele za background kutoka upande wako.
3.Test vifaa vyako kabla ya interview-Hakikisha laptop utakayotumia umeshatest mic yake iko poa, na speaker zake ziko poa.... Ndio maana hapo juu nimesema test vifaa vyako kabisa kwa kufanya "mock" zoom call before the actual interview.
4.Vaa smart na ukae sehemu comfortable kwako kama vile upo kwenye actual interview.... Hii itakupa kujiamini na kuweza kuwa katika wasaa mzuri wa kuwa na interview nzuri.
Mlatino Zeshalo
 
Hakikisha tu una network fresh. Siwezi kukutrain jinsi ya kua smart, just hakikisha network yako iko vizuri.
 
Kwanza hongera sana kwa kupata nafasi hiyo ya kuitwa interview.

Tips kwa online interview:
1.Cha muhimu kabisa kwa mazingira kama ya kwetu hapa Bongo ni kuhakikisha una INTERNET CONNECTIVITY ambayo ni reliable, ina speed ya kutosha, na isiyo na mawaa yoyote...!! Yaani fanya juu chini, uhakikishe siku hiyo una internet connectivity superb, na kwa vile umeshapewa hint kuwa uwe smart, maana yake most likely watataka u turn on video, ambayo huwa inataka mtandao ambao ni stable sana, sikushauri kabisa utumie hotrspot ya simu, kwani huwa haziko strong na huwa zinakata kwa mfano ukipigiwa simu. I hope una router/modem au una sehemu ambayo kuna wifi nzuri kama ofisi ambayo unaweza itumia. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na online interview halafu uwe na mtandao mbovu, hawaskusikii vizuri, unakata kata- Halafu ukute mwenzako unaeshindania nae ana mtandao umenyooka, anasikika bila mawaa, hapo lazima uliwe kichwa. Hkikisha kuwa unatest mitambo kabla ya interview yenyewe, kwa kumpigia mshikaji wako kwa zoom kwa kutumia mtandao na laptop utakayotumia ili kutest kama ankusikia vizuri na kama mtandao uko poa.
2.Tafuta sehemu yenye ukimya na utulivu, isiyo na makelele-Hakuna kitu kibaya kama upo kwa interview online halafu zinasikika kelele za background kutoka upande wako.
3.Test vifaa vyako kabla ya interview-Hakikisha laptop utakayotumia umeshatest mic yake iko poa, na speaker zake ziko poa.... Ndio maana hapo juu nimesema test vifaa vyako kabisa kwa kufanya "mock" zoom call before the actual interview.
4.Vaa smart na ukae sehemu comfortable kwako kama vile upo kwenye actual interview.... Hii itakupa kujiamini na kuweza kuwa katika wasaa mzuri wa kuwa na interview nzuri.
Mlatino Zeshalo
Asante sana kwa ushauri mkuu. Lakini vipi nikitumia simu yangu ya mkononi? Nitajitahidi niweke simcard mpya ile ya zamani na switch off kupunguza kupigiwa simu kila mara
 
Asante sana kwa ushauri mkuu. Lakini vipi nikitumia simu yangu ya mkononi? Nitajitahidi niweke simcard mpya ile ya zamani na switch off kupunguza kupigiwa simu kila mara
Sijui unatumia simu gani, ila kwa uzoefu wangu network ya simu kwa zoom calls sio strong..... Hasa ukiwa unawasha na video, na kama hivyo wameshakwambia uwe smart maana yake most likely hao watataka u turn video on. Halafu huoni kama itakufanya usiwe comfortable? Maana watataka kukuona uso, so itabidi uishikilie simu mkononi kwenye angle fulani hivi huku unajibu maswali...!!
 
Sijui unatumia simu gani, ila kwa uzoefu wangu network ya simu kwa zoom calls sio strong..... Hasa ukiwa unawasha na video, na kama hivyo wameshakwambia uwe smart maana yake most likely hao watataka u turn video on. Halafu huoni kama itakufanya usiwe comoftable? Maana watataka kukuona uso, so itabidi uishikilie simu mkononi kwenye angle fulani hivi huku unajibu maswali...!!
Sawa mkuu, ngoja nifanye namna nipate laptop
 
Sijui unatumia simu gani, ila kwa uzoefu wangu network ya simu kwa zoom calls sio strong..... Hasa ukiwa unawasha na video, na kama hivyo wameshakwambia uwe smart maana yake most likely hao watataka u turn video on. Halafu huoni kama itakufanya usiwe comfortable? Maana watataka kukuona uso, so itabidi uishikilie simu mkononi kwenye angle fulani hivi huku unajibu maswali...!!
Simu inawezekana.

Strength ya network inakuja kutokana na service provider na uwezo wa device.

Kama simu ina uwezo wa 4g na service provider anaoffer huduma hiyo na eneo ulilopo halina changamoto za network na hauna laptop simu itakuokoa vizuri tu.

Ishu ni kublock all calls na texts before interview haijaanza ili isijekua upo katikati ya tukio inaingia simu.
 
Simu inawezekana.

Strength ya network inakuja kutokana na service provider na uwezo wa device.

Kama simu ina uwezo wa 4g na service provider anaoffer huduma hiyo na eneo ulilopo halina changamoto za network na hauna laptop simu itakuokoa vizuri tu.

Ishu ni kublock all calls na texts before interview haijaanza ili isijekua upo katikati ya tukio inaingia simu.
Asante mkuu kama sitapata laptop nitatumia simu yangu kwasababu inauwezo wa 4G na mtandao ninaotumia ni vodacom.
 
Asante mkuu kama sitapata laptop nitatumia simu yangu kwasababu inauwezo wa 4G na mtandao ninaotumia ni vodacom.
Kama unahofia kutoonekana kama mdau anavyosema mpigie mtu uone. Kwa ninavyojua ni utaonekana vizuri tu labda kama kamera yako isiwe nzuri sana ila ni unaonekana vizuri tu.
 
Habari za kazi wakuu,

Katika jaribu jaribu nimebahatika kupata interview kwenye moja ya shirika kubwa hapa bongo na Interview itafanyika online.

Binafsi siyo mgeni kwenye interview lakini sijawahi bahatika kufanya online (face to face). Nimewahi kufanya paper ilitumwa kwa email lakini hii ya moja kwa moja tukiwa tunaonana sijawahi.

Kwa yeyote aliyewahi anipe mwongozo maana nilipigiwa simu nikaambiwa niwe SMART kimwonekano sababu watahitaji kuniona.

Asanteni
Camera bro hakikisha camera yako ipo vizuri yani clear
 
Nashukuruni wote mlionipa mwongozo. Nimefanikiwa kushiriki usaili online kwa kutumia device aina ya samsung galaxy A20. Mungu ni mwema atasaidia matokeo yaje vizuri
 
Back
Top Bottom