Online Media zinazoongoza Tanzania kwa kuaminika taarifa zake mitandaoni

Online Media zinazoongoza Tanzania kwa kuaminika taarifa zake mitandaoni

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni.

Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media ambazo taarifa zake lazima uchanganye na akili zako unapozisoma au kuzisikiliza maana nyingine ama zinavutia wateja TU au zimeelemea upande.

Kuna social media ambazo habari zake Zina nafuu kubwa kwenye kuaminika (integrity).

Kwa maoni yangu Mimi vyombo vifuatavyo vinaongoza kwa kuaminika mitandaoni:

1. Ayo tv
2. Azam tv
3. Mwananchi media

Sijui kama na wewe unaona kama Mimi?
 
Mimi Jamiiforums, kwa sababu aliyepost unakuta ni mhusika mwenyewe na kama si mhusika tunamdai picha, au anakuja kujibu maswali na wenye kujua zaidi nao wanaongeza nyama kwenye thread.
 
Zote hakuna kitu, ukweli wa tukio mpaka uuone wew mwenyew
 
Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni.

Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media ambazo taarifa zake lazima uchanganye na akili zako unapozisoma au kuzisikiliza maana nyingine ama zinavutia wateja TU au zimeelemea upande.

Kuna social media ambazo habari zake Zina nafuu kubwa kwenye kuaminika (integrity).

Kwa maoni yangu Mimi vyombo vifuatavyo vinaongoza kwa kuaminika mitandaoni:

1. Ayo tv
2. Azam tv
3. Mwananchi media

Sijui kama na wewe unaona kama Mimi?
Www.Jamiiforums.com
 
Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni.

Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media ambazo taarifa zake lazima uchanganye na akili zako unapozisoma au kuzisikiliza maana nyingine ama zinavutia wateja TU au zimeelemea upande.

Kuna social media ambazo habari zake Zina nafuu kubwa kwenye kuaminika (integrity).

Kwa maoni yangu Mimi vyombo vifuatavyo vinaongoza kwa kuaminika mitandaoni:

1. Ayo tv
2. Azam tv
3. Mwananchi media

Sijui kama na wewe unaona kama Mimi?
Hizi online TV ni za kuangalia ukiwa na akili zako timamu kwani hazina utaalam wowote. You watch on your own risk.
 
Hizi online TV ni za kuangalia ukiwa na akili zako timamu kwani hazina utaalam wowote. You watch on your own risk.
Ndio maana nikasema ayo tv wanaongoza kwa kuaminika miongoni mwa hizi onlines
 
Jf sababu hakuna cha mambo ya kuedit edit ni taarifa toka kwa muhusika mwenyewe aliyepo eneo la tukio
 
Back
Top Bottom