Önly fans of Hiphop

Önly fans of Hiphop

Kuna Mchizi Mmoja alikuwa anaitwa Eddo Mtui,.Mshkaji alikuwa achani isipokuwa anahara..
 
Nilishawahai muuliza ili swali Geronimo Prat (If I spelled the name right), pale UAACC akabaki hana jibu ila alinipa majina niyape namba mwenyewe

1. Faza Nelly R.I.P
2. Sugu
3. J.C.B Jacob Makala
4. Jay Moe
5. EMP2 Boyoloco

Hao wapange uonavyo. Hao ndio MCs wa sasa. Japo Faza Nelly hatunae lakini daily lazima umsikie, either Rappers wamkumbuke, au uisikie "Nini Haramu" On Air
Dogo hashim , dogo mwana haramu
 
Mkubwa nakubalina na wewe kabisa! MCs wa sasa wote wazugaji wana copy na kupaste au kutranslate mistari ya MC wa ughaibuni.
Na hichi ndo kinachotufanya tunaofuatilia muziki huu tuone Mc wa sasa hawana jipya!
Heshima itaendelea kubaki kwa kinaa
Hashim Dogo
Chief Ramson - Zavara
K -Single
Faza Nelly R.I.P
Nigger One (Adili) - R.I.P
Sugu
D Rob(Zomba) - R.I.P
Balozi
Daah mkuu vizuri sana
 
Ramadhani Mponjika aka Cheef Rhymson aka Zavala uyu ni mwalimu wa Hiphop kwa Tanzania..jamaa anaijua Hiphop na anaiishi bila kujistukia,unajua kuishi Hiphop usifanye nako mchezo..ukimwona na midevu yake na pamba zake unaweza mchukulia poa ila usimpimie ata kidogo jamaa ni wa ukweli haswa,ameishi State na Ukerewe(UK) maisha tofauti tofauti tena sio ya kuungaunga...nilishawai mtembelea home kwake kabisa uko Iringa ana bangaloo lake maeneo ya Gangilonga kuna hadi studio umo ndani na mkewe ni Injinia wa kimataifa ni mjamaika...ana swaga zake flani za kutumia maneno ya kiingereza yasiyo na tafsiri rasmi ya kiswahili ila yeye anayatafutia tafsiri ya kiswahili mfano Mixtape=kandamseto,punchlines=mistarikonde,link=kiunga,rapper=mchanaji nk nk nk...jamaa ni Godfather wa Fid Q,Sterio,One,Philly Techniques,Songa,Niki mbishi,Maalim Nash,Para The Mc na wengi tu..

Back to the topic MC Wa kweli kwa sasa Bongo ni Mr II Sugu.
Umenikumbusha huyu jamaa niliwahi msikia akitolea ufafanuzi kasoro za hawa wanajiita ma mc wa hapa bongo akasema wengi wao hawana battle skills ( yani sanaa ya upambanaji) vitu kama tamathali za semi (tashihisi, tashititi n.k) ndiyo maana hatuna watu kama kina FANANI, KBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi mtaja Faza Nelly kama real Mc, pasipo kuwataja K-Single, Faza Nelly anaanza game K-Single, D-Rob, Adili(Nigga One), tayari walikua wana run game hii kwa bongo.
Bamiza inamtoa Faza Nelly 99 lakini Kwanza Unit walikua tayari wanafanya game, na nina uhakika hata Faza Nelly wali muinsnpire!
JCB bado hajafiki level hiyo ya real MCs
Jay Moe wakawaidaa sana
Pia hahis haujaelewa maana ya MCs, sio kuaaandika mashairi tu zingatia nguzo 5 za hip hip
Maana kama MCs ni kuandika mashairi hata FA atakuwemo!
Na MCs sio kukaza sauti kama JCB maana hata Chindo Man, Kala Pina na Msema Kweli watakuwemo!
Kifupi MCs wa ukweli Bongo
1.Sugu - bado yupo
2.Faza Nelly - R.I.P
3.Adili(Nigga One) - R.I.P
4.Kibacha(K Single) - bado yupo
5.Hashim Dogo -bado yupo
6.D-Rob - R.I.P
7.Chief Ramso - bado yupo
Vipi kuhusu Salu Tee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna neno wasanii wa hiphop hupenda kulitumia husema "wolizbon/wolazbon" spelling zake sizijui coz ni neno la kizungu,humaanisha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Word is Bond!!! Kwa wale ambao tumeishi na Black Americans New York,Ni slang inayotumiwa Sana na black Americans Brooklyn na Queens Bridge,huo Ni msamiati wa kawaida kabisa huku Newyork

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom