Only for great thinkers!

Only for great thinkers!

Le professel

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2019
Posts
636
Reaction score
960
94654494_2567297453488313_5629902737152933888_o.jpg
 
Barafu zipimwe nazo huenda sumu ipo kwa barafu afu mshikaji kanywa iloyeyuka wakati mdada kayaacha mabonge kwenye glass baada ya kunywa mbio mbio.
 
Kwa sababu kinywaji chote alichokunywa huyo mwanaume ndio kilikuwa na sumu. Vile vinne vya mwanamke havikuwa na shida.
 
Ndiyo, unaagiza chupa tano zinapigwa zote in a minute.

Utaweza kuhandle hizo bill mkikaa masaa mawili ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha.... si angeenda msalani afu apite nduki
 
Back
Top Bottom