only in PAKISTAN

Hawa jamaa wanamambo ya kufikirika kuliko nchi ya Kusadikika!
 
Nilisafiri kwa gari toka Islamabad hadi Lahore na ukweli niliona mambo. Halafu hawa jamaa wana ile hashish nyeusi (afghan) ukiivuta jasho litakutoka!
 
Anayeswali na msala/mkeke wa bendera ya obama huyo kaniacha hoooooooi
 
Hata mimi huo mswala umeniacha kushoto!:teeth:
 
Hawa jamaa me huwa nachelewa sana kuwaelewa. But inawezekana alikuwa anarekebisha saa baada ya tatizo fulani la kiufundi!
 
huyu anaposujudu si anaisujudia marekani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…