Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Nimesoma gazeti la Habari Leo na kukuta habari ya wanafunzi 44 waliofeli la 7 wako sekondari huko Mkoani Katavi. Hawa wanafunzi walifeli la 7 kwa sababu hawana akili za darasani, leo hii waje kwenda sekondari na chuo kikuu si tutapata viongozi dizaini ya waziri Muhongo hapa? Jamani kwa nini hivi Tanzania? Siyo kila mtu lazima awe kiongozi, pengine hawa watoto waliofeli ndiyo wakulima bora.
Chanzo: HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania/index.php/habari-za-kitaifa/6055-waliofeli-la-saba-wakutwa-sekondari
Chanzo: HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania/index.php/habari-za-kitaifa/6055-waliofeli-la-saba-wakutwa-sekondari