Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Du mkuu naogopa kuchangia kwani waziri Muhongo si professor
Kuchangia unaweza kuchangia kama una hoja, ila naona umejichanganya kwani mi sikusema kama waziri Muhongo ni profesa. Niliuliza tu kama hali ni hii ya kupeleka wanafunzi waliofeli la 7 sekondari (provided they are NOT smart, that's why they failed) then waje waende chuo kikuu, si tutapata viongozi wasiokuwa na akili na maadili ya kuongoza nchi? Au ulisahau miwani mkuu, rudia tena mistari yangu halafu nisahihishe.
Uliposema kuwa "leo hii waje kwenda sekondari na chuo kikuu si tutapata viongozi dizaini ya waziri Muhongo hapa?" hapo ndo sikuelewa vizuri maana najua huyu mtajwa ni miongoni mwa mawaziri ndani ya baraza la mawazili ambao ni maprofessor
Safi sana. Lakini si unajuwa huo uprofesa anaujuwa yeye kwani huyu jamaa ni mtaalam wa kughushi vitu hivyo hata uprofesa wake ni batili pia. Binafsi siamini chochote asemacho huyu jamaa. We profesa gani hajuwi historia ya nchi yake? Yaani ni afadhali angejichanganya kwa vingine lakini nchi ambayo yeye ni mtawala wa wizara? Aaaah, huku si kuchemka ila ni umagumashi wa kujitwisha vyeo asivyoviweza.
Safi sana. Lakini si unajuwa huo uprofesa anaujuwa yeye kwani huyu jamaa ni mtaalam wa kughushi vitu hivyo hata uprofesa wake ni batili pia. Binafsi siamini chochote asemacho huyu jamaa. We profesa gani hajuwi historia ya nchi yake? Yaani ni afadhali angejichanganya kwa vingine lakini nchi ambayo yeye ni mtawala wa wizara? Aaaah, huku si kuchemka ila ni umagumashi wa kujitwisha vyeo asivyoviweza.
Safi sana. Lakini si unajuwa huo uprofesa anaujuwa yeye kwani huyu jamaa ni mtaalam wa kughushi vitu hivyo hata uprofesa wake ni batili pia. Binafsi siamini chochote asemacho huyu jamaa. We profesa gani hajuwi historia ya nchi yake? Yaani ni afadhali angejichanganya kwa vingine lakini nchi ambayo yeye ni mtawala wa wizara? Aaaah, huku si kuchemka ila ni umagumashi wa kujitwisha vyeo asivyoviweza.
nimesoma gazeti la habari leo na kukuta habari ya wanafunzi 44 waliofeli la 7 wako sekondari huko mkoani katavi. Hawa wanafunzi walifeli la 7 kwa sababu hawana akili za darasani, leo hii waje kwenda sekondari na chuo kikuu si tutapata viongozi dizaini ya waziri muhongo hapa? Jamani kwa nini hivi tanzania? Siyo kila mtu lazima awe kiongozi, pengine hawa watoto waliofeli ndiyo wakulima bora.
Chanzo: habarileo | gwiji la habari tanzania/index.php/habari-za-kitaifa/6055-waliofeli-la-saba-wakutwa-sekondari
investigative journalism au siasa blaa blaaa??????????
Unajivua nguo sasa kwa kung'ang'ana kuonyesha kuwa ulichoandika ndicho ulichomaanisha ilhali hujui kuwa umechemka, asiyejua historia ya nchi yake ni Philip MULUGO naibu waziri wa elimu na sio MUHONGO ambae ni wa nishati na madini, pia sio sahihi kudhani kuwa kila aliyeshindwa kwenda sekondari basi hana AKILI ZA DARASANI, huwa kuna mazingira mengine yanayoweza changia hali hii, istoshe siyo sahihi kudhania kuwa kilimo ni kazi ya waliokosa elimu, hiyo ni dhana potofu mno
Mkuu, hebu punguza nguvu kwanza maana nahisi ume engage 4WD kwenye lami. Hapa unamzungumzia Prof. Muhongo wa nishati na madini au Mulugo naibu wa Elimu?
Ndugu nadhani uko kasi sana ndo maana umechemka, jaribu tena kupata muundo wa baraza la mawaziri mimi nadhani unataka kumaanisha waziri philip mulugo wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na si profesa muhongo wa nishati na madini,labda ututhibitishie ni wapi na lini huyu prof. muhongo alikosea historia ya nchi.