Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

[emoji23] [emoji23] mkuu msimchome moto alisema atarudi kuprove his legacy kwamba alikuwa na malengo ya kukomboa waTZ....
 
Hahahhah best best nakuona nakuona Hahahaha lol hongera kwa kuchota nitumie kidogo kwa mpesa
Wacha tujichotee tu best maana hakuna namna [emoji38] [emoji38]
Lazima best upate hata mln 10 za mboga. Maana nimepanga niweke historia ya kutembeza mgao kama mabilioni ya Escrow
Alafu nimekutext WhatsApp unajifanya haujaona [emoji35] [emoji35]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
hivi mbona nikisoma comments za humu JF siku hizi naona aya ndefu ndefu hata hazisomeki?

mtu unaandika aya yenye mistari zaidi ya 10 wengine hadi 30. ndiyo hatujui tena kuandika au?
 
hivi mbona nikisoma comments za humu JF siku hizi naona aya ndefu ndefu hata hazisomeki?

mtu unaandika aya yenye mistari zaidi ya 10 wengine hadi 30. ndiyo hatujui tena kuandika au?

Bora ukute hata hizo aya zimewekwa, kuna mwingine anaanza mpaka anamaliza bila aya.
 
kwa hali hii kizazi kinaelekea pabaya. sitaki kuamini ni wazee wenzangu nyuma ya keyboard wanaandika hivi.

hawa watakuwa hawa wa juzi tu.

Wazee mnajifanya kila kitu kizuri ni chenu, kibaya ni cha vijana. Kuna mgombea alisimama Jangwani akasema, "Elimu, elimu, elimu, elimu". Hapo akawa amemaliza kampeni.

Ukiangalia trend ya uandishi humu utagundua kati ya posts 10 sita zina makosa ya kiuandishi (achana na typo).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…