Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Nazani anakumbuka na vyeti vyake now
 
Nashangaa sie tunafurahi hata bold kaja hapa kafurahia na kejeli juu hakuna anaemchokonoa wanamuogopa wanataka kutonea sisi watu wa chitchat [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena muje muwachekee kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada yangu hii comment imenifanya Nijue kwamba huijui forex hata chembe .

Mtazamo wako wa forex ni kama ponzi schemes Fulani hivi .

But forex ni real business sifahamu kiwango cha cha elimu ila kama utakuwa umesoma hadi chuo kikuu hasa upande wa biashara na uchumi utakuwa unaelewa tunaongelea nini hapa .

Otherwise sisi tunaoijua tunakuona mweupe kabisa

Mmeamua kugeuza huu Uzi kama sehemu ya kuchamba kuchambalize hahahahaha kuchamba vitu msivyovijua.

Mi namlaumu sana Ontario aisee kachafua image yote ya forex kiasi tunaofanya forex tuonekane tumepotea njia.

Forex ni financila bussiness inahitahi skills za ukweli sio lele mama kama mnavyopeana ubuyu huko vichochoroni.

Ontario njoo utusafishie haya makapi yako tumechoka

Mtuache [emoji23]
 
Ila daudi sio vizuri kuwacheka wenzip
 
Mashoga utawajua tu....
Kuji chekesha chekesha bila sababu za msingi.. Na akipata wanawake wakampa support basi humwambiii kitu...
Endeleeni kujichokonoa. Mkimaliza mkojoe mkalale.
Wewe ni fala tu hunipi ushindani wowote!..
Mwanzoni ulianza kujisifu unadownload millioni kwa siku badae unakuja tafuta njia za kutapeli bank million 5!. Sasa kwa akili yako ya uingineer millioni 5 yako ndio hela kuubwa ya kuweza kuharibu credibility yako kwenye taasisi kubwa!.
Narudia tena wewe ni fala!!. Kwa taarifa yako najua nini FOREX is but you were dumb enough to show us you are!.
Ukageuza Forex kama kazi rasmi wewe ni fala ingawa engineer!.. Mimi ni mfanyabiashara nilifundishwa kufanya risk taking to invest what im willing to lose!. Huna akili dogo engineer n hufai kupewa hata tenda ya professional yako utailetea misifa!.
 
Kuna wimbo wa Kimbunga anasema "mbongo muoga asikutishe ana hasira" the bold anakuja hapa wanafyata mikia afu wanajifanya kuwakazia wasio husika
 
Kabisa huyo Dogo si wa kumuacha,haiwezekani afanye utapeli awaunguzie watu accounts apige pesa kisha watu wamuache azitumbue fedha,msikubali kabisa kamateni mali zake zote ziwekwe BOND mahakamani.
 
Nazani anakumbuka na vyeti vyake now
Anatamani hata zile hela za kulipia ada...angepewa muda huu akapate lunch maana kavurugwa empty stomach, empty wallet, empty head..karibu mjini dogo toka kwenu huko kishumundu. Na vyeti havimsaiidii yule aliekuwa anajipendekeza kwake kakwapua manoti yuko kwa madiba anakula good time.

Man Ontario anakesha clubbing tu SA ninamchoraga tu via WhatsApp.. Ninajisemea kimoyomoyo mkopo wa engineer majalala unachakazwa.
 
Mazigazi kaka ,mimi ni mweupe kabisa kuhusu forex ndio maana toka mwanzo mlituambia kuwa forex is not foreveryone mlipatia kabisa,mi hata ningekuja kule tuition TMT nisingeelewa chochote nimekome la saba tu, tena niliwatamania kweli nikafurahi nikasema ndugu zangu soon wanakuwa mabilionea
Acha tu tufurahi haya mambo yenu ya forex yanafurahisha mnoo ,yaan sisi mtuache tu ni akili ndogo mno
Mazigaz usikasirike acha tu tucheke
 
Hahahhahahahhah... Kwa akili kama hizo unaweza kubaliana na Jiwe kutowapa tenda mafala kama hawa, likageuza Forex kama kazi wakati wenzie wanaifanya kama capital seeker!.
 
Sawa Mkuu umeeleweka taarifa umezitoa vizuri jinsi ya Kumkamata huyo The Bold,Kweli umewakamata Mazwazwa,Endeleeni kuwafanyia huo upuuzi mambwiga,Nimetoa ushauri tu kama Ontario hapatikani mshitakiwa namba mbili aunganishwe kwenye kesi,kama Clients wenu mliowapiga hawataki kuwakamata basi ni kheri kwenu.

CC: LAKI si pesa ona mnavyokejeliwa daaaaa
 
Mnaleta habari nusu nusu yaani waTZ matatizo sana, lete habari kamili hata mtu mpya aweze jua what’s all about
 
Bro hamna anae ipinga forex but kibongo bongo Ontario alivo introduce style yake watu walisha mshtukia kuwa anaongea vitu sio uhalisia coz alisema ni simple tu ku trade na kupost majumba na magari ya kifahari, wanaoijua include na mi nilipinga Sana kuwa anachosema Ontario sio kweli lakni alipata kundi kubwa wanao sapoti so tuliokuwa tunapinga tulikosa nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…