Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Kuna wimbo wa Kimbunga anasema "mbongo muoga asikutishe ana hasira" the bold anakuja hapa wanafyata mikia afu wanajifanya kuwakazia wasio husika
Wanatukazia sisi ambao hata wakipeleka police hatutakuwepo tutakuwa tunachangia tu kama hivi
Tena wala hawamuulizi aliemuuliza ni the Don tu na hahusiki kwenye forex zao
 
Eti Humble siruhusiwi kucheka[emoji23][emoji23] nihuzunile tu mimi
 
Laki si pesa kawa mdogo kama pilitoni itakuwa huko tmt kuna ka uchawi sio bure
 
Unajua unapojadili hakikisha unakuwa na right informations. We unaandika hoja kama vile tmt na ontario unajua kwamba kuna magroup na watu wanafanya forex pasipo kuhusiana na huyo ontario kwa hiyo utasema hao pia wametapeliwa ?
 
Hahahahah kumbe umefurahi basi endelea kufurahi

Mimi TMT sikuwahi enda forex nimejifunza kwa kujisomea mwenyewe vitabu na naifanya kimya kimya .

Simdai Ontario hata sumni ila namlaumu kwa kushindwa kukeep good image ya forex

Leo hii mmeibuka watu kama nyie
 
We kweli hulalamiki na sijawah ona ukilalamika
Ila mwanzoni na zamani uzi kama huu ungepambwa na picha zile za blue leo sioni hata moja,zamani watu wakisema tofauti na forex tu wanashushiwa picha za blue kwamba wamepiga pesa ,

Hatufurahii ila haya mambo yenu yanafurahisha kweli ghafla watu wamekuwa wadogoo kweli
 
mbuzi wewe mlishindwa fanya maandamano ya mange iwe ontario nenda kakojoe ulale mtu mwenyewe ujawaishika hata glock 9mm puuumbavu
Sawa siwezi bishana na Mbweha(B!T<h),Kuna Member katoa info ya Biashara zako,Wadada wanaofanya hizo Biashara ni Zaidi ya Mafioso,wana roho ngomu sana,najua kichwa kimeungua maana kufanya biashara ile kwa mtu mwenye akili za kawaida ni ngumu lazima kichwa kiwe kimevurugwa yaani lazima uwe na akili za kina Deo Kisandu,Dr Shika au Nabii tito,Hivyo siwezi bishana na watu wa type hizo maana ni kupoteza muda ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu au kumpigia mbuzi gitaa ukitarajia atacheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…