Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Wanatukazia sisi ambao hata wakipeleka police hatutakuwepo tutakuwa tunachangia tu kama hiviKuna wimbo wa Kimbunga anasema "mbongo muoga asikutishe ana hasira" the bold anakuja hapa wanafyata mikia afu wanajifanya kuwakazia wasio husika
Tena wala hawamuulizi aliemuuliza ni the Don tu na hahusiki kwenye forex zao