sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Wewe siyo fursa [emoji23][emoji23][emoji23]Niko poa sweetle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe siyo fursa [emoji23][emoji23][emoji23]Niko poa sweetle
Basi kwendraaaaUtafunga na mm nini mm sio muislamu mama
Mimi huwaga nachelewa kila kituWewe siyo fursa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxieeww sijwahi ona mtu anayetaka funga wa dizaini yakoBasi kwendraaaa
Bora uwe Tomaso kama mimi [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwaga nachelewa kila kitu
Sifungagi mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxieeww sijwahi ona mtu anayetaka funga wa dizaini yako
Umeona inavyouma eeh!Hahahaah
Wit jibu basi pm jamani
Kwanza vitu vya kusoma hivyo siwezii bora nikalie chitchatBora uwe Tomaso kama mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza vitu vya kusoma hivyo siwezii bora nikalie chitchat
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mgumba kapata ujauzito, mtaa mzima utajaa mateWameanza leo wengine,,mi nimejitahidi mpaka saa 5 kwisha habari yangu[emoji23][emoji23][emoji23] nikaona nijilie tu
Witii jamanii nilivunga tu wit shoga angu huoni nilikufata haraka haraka sema nini shoga nikawa na vikazi vya hapa na pale mara nitrade fx ,nisamehe we rafiki wa miaka na miakaUmeona inavyouma eeh!
We juzikati ulinifanya nini PM????
Endelea kusubirii[emoji28] [emoji28]Halaf @wittnesj sio vizurii jamani ivyo nakusubiria hapa jamaniii
mkuu naona mmeama forex mmeanza kusutana nna mashaka na weweCCNP Engineer Naona umehamia kwenye kubett tena yaani we boya hukomi tu kutandikwa kizembe!? Unadanganywa kama wale watoto waliokuwa wakimuona Le mutuz amevaa shati lake lile kubwa la njano wanamkibilia wanadhani School Bus imefika kumbe njemba Le mutuz inakatiza. Ahahaha! Usione kila hela ukadhani zinachukuliwa kiwepesi sometimes ni akina Le mutuz wanakatiza we boya na mashati yao ya njano makubwa! Ahahaha
Mattet of fact, kuna time huwa napitia kusoma comments zako hadi nalazimika kuhoji juu ya uzima wa akili yako? Wewe injinia majalala huko timamu kweli?
Haya vipi umeshaacha kubett kama watoto wa La NNE B? Yaani eti injinia mzima anabett...we fala usiniquotes tena maandishi yangu maana unastahili kuargue na watoto wenzio wa Mwaneromango!
Blalifuli porokodiomadonna!
Mpenzi nipo chini ya miguu yako nakuomba unisamehe wit kwanza navyokupenda hujui tu ,nakupenda wewee witEndelea kusubirii[emoji28] [emoji28]
Ulichonifanya PM juzikati sina hamu! Lione
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona inavyouma eeh!
We juzikati ulinifanya nini PM????
Vipi kodi ya nyumba ulifanikisha....Dah! maisha haya asee... Wewe unahangaika hata upate ka laki, mtu anapiga milioni 50 Cash!
Ontario nimegee basi hata ka milioni moja nami nifungue hata genge.
Anajifanya kichwa kichafu huyoo na umbea anautaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BwahaaaaaahaaaaMpenzi nipo chini ya miguu yako nakuomba unisamehe wit kwanza navyokupenda hujui tu ,nakupenda wewee wit
Mkuu usilolijua ni sawa na usiku wa Giza. Huyu jamaa tulianza kwere toka kwenye magroup ya Forex huko. Ugomvi wetu huujui so keep it cool and silence ushuhudie tu ninavyozaa nae.mkuu naona mmeama forex mmeanza kusutana nna mashaka na wewe
JamoooooniBwahaaaaaahaaaa
Leo utatambaaa