OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Dah tickmil ad 100$ na mimi mtaji wang uko chin ya hapo na tena nimeugawanya kwenye account mbili tafauti[emoji41][emoji41][emoji41]Wote wako vizuri ,tofauti Tickmill mtaji wa kuanzia minimum anahitaji $100 wakati templer yeye hata $1 anakubali
zikuze hadi 100 af weka tickmillDah tickmil ad 100$ na mimi mtaji wang uko chin ya hapo na tena nimeugawanya kwenye account mbili tafauti[emoji41][emoji41][emoji41]
zikuze hadi 100 af weka tickmill
Kwa hiyo nikiweka hiyo 100$ mimi nakaa tu kusubiri faida ??
Dah sasa hapo mbona kuunguza account nje njeHahah forwx haipo hivo... From there unaanza kununua na kuuza fedha za kigeni.
ndo maana lazima ujue unafanya nn... otherwise lazima upoteze tu hela yako.Dah sasa hapo mbona kuunguza account nje nje
Ni kweli amesepa nazo au anawarudishia jamaa kimyakimya?
Kuna kipindi nilipiga kelele na kumpinga sana huyu jamaa Ontario sababu niliona ni msanii tu, lakini wengi walinishambulia kwa matusi kama vile nawazibia fursa ya kutengeneza mapesa katika forex trading.Jamaa kala vichwaView attachment 776894
Kuna kipindi nilipiga kelele na kumpinga sana huyu jamaa Ontario sababu niliona ni msanii tu, lakini wengi walinishambulia kwa matusi kama vile nawazibia fursa ya kutengeneza mapesa katika forex trading.
Hii forex trading ni kitu kimekuwapo miaka mingi na kama ingekuwa ni easy money, basi wazungu wote wangejiusisha nayo. Lakini ni wachache wanao deal nayo maana wanaofaidika zaidi ni brokers. Huyu Ontario aliwaingiza watz kwenye kamali fulani bila wao kujua.
Unamjua uliyemqoute?Kijana mdogo (25 years)
Amekuzidi maendeleo ya kila kitu.
Hajanizidi chochote. Niko happily married, watoto 4, nyumba mbili UK, nyumba 2 TZ. Biashara halali siyo kuibia watu ili niwazidi. Kakojoe ukalale sasa.Kijana mdogo (25 years)
Amekuzidi maendeleo ya kila kitu.