Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Kama n kweli watu wameliwa poleni zao, lkn tusihukumu tusubiri aje ajitetee
 
Ahahaha!! Huwa unanifurahisha sana we jamaa yaani akili zako huwa fupi kama maisha ya funza..you can't comprehend my intellect and sophistication hata theluthi.

Wadau mnaoufahamu huu msukule Hebu njooni muunyooshe kwa kufukua yale makaburi yanahohusu. Unataka kufurukuta hapa? Ahahaha!
Juzi juzi alikuwa anatafuta mkopo wa milioni 5 sijui alifanikiwa??
 
Staki kuamini kama ni tapeli, aliwezaje kusaini na kuchukua hizo hela.
Je makubaliano yalikuwaje? Nahisi ni vita vya nikose na nipate. Unitial cost zilitoka kwa nani? . Nahisi yapo ya kujifunza ndani yake kabla ya kuamua. Huenda yajayo yanatisha zaidi.
 
Ontaria ...siku ya kwanza tu ....nikivyoona anapost post Mara analima anapata matrcta nn ...nikaona dogo tapeli wa kutupa...
Maneno mataaamu
Yule dogo Ontario huwa akiandika anahakikisha anaziba mianya yote ya maswali na doubts juu yake hivyo unakuwa huna option ya kukataa zaidi ya kumuamini tu. Style hizi za uandishi wanabarikiwa wachache tu.

He is simply talented.
 
Mola tuepushe na huu ujinga milele
 
Ahahaha!! Huwa unanifurahisha sana we jamaa yaani akili zako huwa fupi kama maisha ya funza..you can't comprehend my intellect and sophistication hata theluthi.

Wadau mnaoufahamu huu msukule Hebu njooni muunyooshe kwa kufukua yale makaburi yanahohusu. Unataka kufurukuta hapa? Ahahaha!
Ni nani huyu jamaa?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MTU anawezaje kutoa hela bank kama sio zake?
Au huko MNA utaratibu gani
eh eh inanikumbusha ile kesi ya wachungaji kwa kakobe walipoenda mahakamani wakaambiwa memorundum inasema pesa ni mali ya mmiliki wa kanisa ambaye ni kakobe wao hawana kitu
 
Una ushahidi mkuu tusubiri taarifa kutoka kwake na mamlaka husika huenda hizi ni mbinu tu za kuendelea kuchafuana si unajua hiyo ni biashara
Una share tmt mkuu, maan ni ww mwnyw unamtetea!!,,, dogo kashashtukiwa sku nyingi kwmb ni tapeli, we unafkr anasingiziwa????!!
yaani na wewe ..uliingia kwenye huo mkumbo""?
 
Back
Top Bottom