Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
"haswa wazungu " kajifunze lugha then uliza tena ...sio unakurupuka kama kichaa.!Acha kukariri nani kakuambia wazungu ndio wenye akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"haswa wazungu " kajifunze lugha then uliza tena ...sio unakurupuka kama kichaa.!Acha kukariri nani kakuambia wazungu ndio wenye akili?
Shika mioyo yao, waachie akili zaoDah...
Shika akili zao, waachie roho zao
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu kila anayemwita Ontario Tapeli eidha ni kilaza wa mwisho duniani au ni mbumbumbu wa forex.
aliwapgaje ufafanuz kw tusiojuaMimi huyu dogo yani alivyotupanga na kutulundika kwenye kile chumba eti semina za forex. Watutulikuwa tunakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.
Dogo mgeni nini humu? Huyu bwana mdogo alitapeli watu hela zao kwa kuwadanganya watatajirika kupitia forex. Alianzisha semina uchwara alikusanya watu wasomi na wazima. Wote waliotoa hela zao ziliyeyuka hadi leo.aliwapgaje ufafanuz kw tusiojua
sIo Wote wanaochinjwa!!Mkuu kila anayemwita Ontario Tapeli eidha ni kilaza wa mwisho duniani au ni mbumbumbu wa forex.
1. Ontario alifundisha forex sio ku meneji ac
2. Wanaolia ni wale waliotegemea signals tokwa menta wao.
Katika forex hakunaga fundi wala mwalimu wote huchinjwa.
Kosa lake ni lipi?
Nitajie guru mmoja ambaye hajawahi potezasIo Wote wanaochinjwa!!
aliwapgaje ufafanuz kw tusiojua
Wako wengi sana duniani , Ila tofauti na nyinyi wao wamekubuhu kwenye FINANCIAL INTELLIGENCE!!!Nitajie guru mmoja ambaye hajawahi poteza
View attachment 2595604
Watu tulikuwa tunanakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.
Mpuuzi sana huyu dogo. Alisomaga saint Metthews sijui O level na A level.
Waliosoma naye wanamfahamu kwa janja janja toka udogoni. He has a convicing power.
Mwenyewe anajionaa mjaanjaaa.
Nitajie guru mmoja ambaye hajawahi poteza
Wabongo wengi wanapenda mtu kwa mkumbo...vivyo hivyo wanamchukia kwa mkumbo tena bila sababuJamaa mnamchukiaga bure tu
Ukijibiwa uniiteForex is real, sasa najiuliza aliwapigaje hzo hela?
Kama ni malipo ya kufundishwa, walitaka mtu aandae resources zake zote eg venue, muda wake, materials, ma projector na pengne alialika hata wataalamu wengine. Then awafundishe bure bure tu? Kama ni kuchoma account bs poleni sana lakn mjue tu hakuna fx trader duniani ambae hajawah unguza account!Ukijibiwa uniite
Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tuKama ni malipo ya kufundishwa, walitaka mtu aandae resources zake zote eg venue, muda wake, materials, ma projector na pengne alialika hata wataalamu wengine. Then awafundishe bure bure tu? Kama ni kuchoma account bs poleni sana lakn mjue tu hakuna fx trader duniani ambae hajawah unguza account!
Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu