Ontario licha ya kupiga watu hela ndefu kashindwa kunawiri kama mwenzake wa South Africa Sandile Shize

ONTARIO sio kijana mdogo,halafu sio tapeli me nmefundishwa forex na ONTARIO na angekua tapeli angeshanikwapulia visenti vyangu
Mkuu kila anayemwita Ontario Tapeli eidha ni kilaza wa mwisho duniani au ni mbumbumbu wa forex.
1. Ontario alifundisha forex sio ku meneji ac
2. Wanaolia ni wale waliotegemea signals toka kwa menta wao.
Katika forex hakunaga fundi wala mwalimu wote huchinjwa.
Kosa lake ni lipi?
 
sIo Wote wanaochinjwa!!
 
aliwapgaje ufafanuz kw tusiojua

Watu tulikuwa tunanakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.

Mpuuzi sana huyu dogo. Alisomaga saint Metthews sijui O level na A level.

Waliosoma naye wanamfahamu kwa janja janja toka udogoni. He has a convicing power.

Mwenyewe anajionaa mjaanjaaa.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nitajie guru mmoja ambaye hajawahi poteza

Wherever RISK is involved there are chances of winning as well as losing ; kwahiyo hakuna kuchinjwa you win some and you lose some depending on your financial intelligence!
 
Ukijibiwa uniite
Kama ni malipo ya kufundishwa, walitaka mtu aandae resources zake zote eg venue, muda wake, materials, ma projector na pengne alialika hata wataalamu wengine. Then awafundishe bure bure tu? Kama ni kuchoma account bs poleni sana lakn mjue tu hakuna fx trader duniani ambae hajawah unguza account!
 
Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…