Onyango aikacha Simba. Akimbilia Singida

Onyango aikacha Simba. Akimbilia Singida

Nashangaa hadi Yanga wanasema Simba wamefanya makosa kumuacha Onyango. Ndiyo maana nasemaga wanasimba tuwe makini na hizi kelele za mitandaoni kuhusu wachezaji, wengine hawa ni mamluki tu wanataka kuichanganya timu. Juzi nilihoji ubaya wa Outtara hakuna aliyenipa jibu la kueleweka.
 
Beki Kisiki wa Kimataifa wa Kenya, Joash Onyango amesaini kandarasi kuitumikia timu ya Singida Fountain Gate.

Katika picha iliyopakiwa katika Mitandao ya kijamii, mlinzi huyo aliyekuwa anaitumikia Simba Sports Club ameonekana na Mkurugenzi wa Singida katika sehemu maalum ya kusaini Kandarasi huku akiwa na jezi rasmi za timu hiyo.

Haijajulikana ni kandarasi ya muda gani. Pia, haijaelezwa bayana kama ameenda kiujumla ama kwa mkopo.

Onyango sasa kuungana na mchezaji mwenzie Pascal Wawa, waliotengeneza ukuta imara sana walipokuwa Simba SC.
View attachment 2681236
Huyu naona wamegoma kumtengenezea bango la thank you.Naona walikuwa wanamtaka ila kawachomolea.
 
Beki Kisiki wa Kimataifa wa Kenya, Joash Onyango amesaini kandarasi kuitumikia timu ya Singida Fountain Gate.

Katika picha iliyopakiwa katika Mitandao ya kijamii, mlinzi huyo aliyekuwa anaitumikia Simba Sports Club ameonekana na Mkurugenzi wa Singida katika sehemu maalum ya kusaini Kandarasi huku akiwa na jezi rasmi za timu hiyo.

Haijajulikana ni kandarasi ya muda gani. Pia, haijaelezwa bayana kama ameenda kiujumla ama kwa mkopo.

Onyango sasa kuungana na mchezaji mwenzie Pascal Wawa, waliotengeneza ukuta imara sana walipokuwa Simba SC.
View attachment 2681236
kwaio haier kaidhamini yanga na tawi lake?
pongezi kwa madelu[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
 
Back
Top Bottom