Onyango aomba kuvunja mkataba, andika barua TFF..

Onyango aomba kuvunja mkataba, andika barua TFF..

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Simba inazidi kuporomoka kwa kasi kubwa sana. Licha ya vipigo ilivyopokea majuzi lakini hilo sio kubwa sana.

Mlinzi Mkenya Joash Onyango ameandika barua Shirikisho la Soka la Tanzania(TFF) akiomba iuvunje mkataba wake na Simba kwa kile anachosema haoni kama anaweza kupata nafasi ya kucheza.

Onyango amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi toka awasili Kocha Zoran Maki.

Oyango analazimisha kuondoka Simba baada ya kuona kuna ugumu wa kupata namba mbele ya Mohammed Outtara ambaye ni chaguo la Kocha.

Zipo taarifa, Onyango anataka kuondoka baada ya Singida Big Stars kumuwekea ofa nono na Mkenya huyo anaona bora aondoke maana Simba hakieleweki kwake.

NB: onyango baada ya kusikia kisinda karudi mwamba hataki tabu kabisa..
 
Aondoke kwenda wapi na hali madirisha na milango yoote ya usajili wameisha fungwa?? alikuwa wapi hapo kabla
Hilo nadhani anajua yeye anaweza kwenda kwao kenya akasubiri dirisha lifunguliwe akaja tena
 
Ila simba inaua sana vipaji.

Beki kama onyango kweli wamuweke benchi mpaka akose timu ya maana mbeleni ndio wafurahi
Anza na kina akpan, Gadiel, Kapama wako wapi?

Vipaji vinapotea sana pasipo sababu ya msingi
 
Simba imekua timu fulani ya kipuuzi sana..kuna wapuuzi wananufaika na kinachoendelea pale..
Hilo liko wazi beki kama onyango sio wa kukaa benchi kabisa mpaka kufikia kuomba kuvunja mkataba
 
Taarifa mbona zipo nyingi ila yako umeoma hainogi bila kuita timu tena wanaume wenzio wanacheza eti wanapigwa kama malaya
Kwani uongo?
Basi kaangalie hizo taarifa ya kwangu ndio hii.
 
Nijinyonge na Simba namuachia nani
Na hapo ndipo unapoonyesha uboya
Unapenda team kuliko soka

Wakifumuliwa basi wasiambiwe kweli wewe ni bambukicha..
Narudia wamepigwa kama....?
 
Yeye ndo anataka kuvunja mkataba, alipe hela ya mkataba aondoke.
Wanategeana bwana simba wanasubiri onyango avunje mkataba awalipe naye babu anasubiri simba wavunje mkataba wamlipe.
 
Kama mchezaji mwenyewe anaona hapati nafasi na wakati zamani alikua anapata na timu inaongoza ligi maana yake hiyo timu imeimarika zaid
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hapa mchawi ni hao Singida, wanamtamanisha na
 
Back
Top Bottom