Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Aug 28, 2022 #21 Onyango aache kususa susa ataharibu future yake ya soka kwanza bado mdogo sana kiumri[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji28]
Onyango aache kususa susa ataharibu future yake ya soka kwanza bado mdogo sana kiumri[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji28]
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Aug 28, 2022 #22 Diazepam said: Kuna habari ukizisoma mpaka inabidi ucheke. mchezaji professional kama onyango hawezi fanya ujinga kama huo. Click to expand... Hawezi kufanya hivyo na wakati hata Msemaji wa timu Ahmed Ally alikiri kwenye vyombo vya habari! Na alisema CEO wa timu ndiye mwenye mamlaka ya kutolea ufafanuzi!!
Diazepam said: Kuna habari ukizisoma mpaka inabidi ucheke. mchezaji professional kama onyango hawezi fanya ujinga kama huo. Click to expand... Hawezi kufanya hivyo na wakati hata Msemaji wa timu Ahmed Ally alikiri kwenye vyombo vya habari! Na alisema CEO wa timu ndiye mwenye mamlaka ya kutolea ufafanuzi!!
B bagamoyo JF-Expert Member Joined Jan 14, 2010 Posts 24,941 Reaction score 28,869 Aug 28, 2022 #23 Huyu aende timu ya ma-father ya Singida Big Stars, kule hawajali umri.