Onyango, Mkude, Nyoni Wasiwe mbuzi wa kafara, uwezo wa Simba ndio umeishia hapo

Onyango, Mkude, Nyoni Wasiwe mbuzi wa kafara, uwezo wa Simba ndio umeishia hapo

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nawashangaa sana mashabiki wasiojitambua wala kujielewa na wasioitambua sayansi ya mpira wa miguu. Simba kapigwa 3 mzuka na Raja nongwa na jumba bovu wanaangushiwa Onyango, Mkude, Manula na Nyoni, ni mpuuzi tu anaweza kuongea utumbo kama huo!

Wachezaji wa Simba ndio hao hao wa siku zote na viwango vyao ndio hivyo hivyo, mlitegemea waende Morocco na maajabu ya Musa?

Kama Raja wamewapiga kwenu goli 3 bila majibu mlitegemea kwenda kuwapiga kwao? Au hapa kati kati mmefanya usajili mwingine kabla hamjarudiana na Raja? Uwezo wa Simba ndio umeishia hapo, siku zote quality ndio inaamua kwenye mechi muhimu na sio blah blah, na kule anakoelekea Simba hakuna tena wakina Horoya wala Vipers, kitakachoamua nani aende nusu fainali ni ubora wa timu yako na sio kurudisha basi kinyume nyume wala kuchoma moto uwanja.

Hizo 3 Simba kapigwa wakati Raja kapumzisha wachezaji wake 5 muhimu wakijiandaa na mechi yao na Waydad hivi karibuni na huwezi kuwasikia wakilalamika kuwa wamewachezesha wachezaji wa akiba.

Kila timu inavuna ilichopanda kwenye usajili, wengine walisajili Bendi ya Wakongo lakini inawapa matokeo wakiwatumia wachezaji wenye mikimbio mizuri mkija kushtuka wenzenu watakuwa wamewaacha mbali sana!
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia, huwezi kui criticize timu ambayo wachezaji hawa hawa:-
1. Wameifikisha timu Robo fainali kombe la mabingwa Africa
2. Wapo number 2 ligi kuu ya Tanzania point chache tu nyuma ya vinara
3. Bado wapo Azam Federation cup

Onyango huyu huyu kacheza game zote za Simba iweje leo ageuke mbovu ghafla? Sijaona wa kunishawishi kwamba Simba hii ni mbovu - bado saana.
 
Hawa hawa wazee, wakipiga mtu saba mnasema wapo vizuri wakigaragazwa mnasema wamezeeka watimuluwe. Tanzania bado sana kushindana kimataifa, sio ngazi ya clubs wala timu za Taifa kote kupo hoi.
 
Sayansi ni pamoja na kutambua mapungufu Yako na kuyafanyia kazi, Sasa kwakua bado hamjatambua Wala kukubali mapungufu mliyonayo Subirini Yanga ije ipigie mstari Yale ambayo Raja Casablanca wali ya ainisha katika mechi mbili mlizo kutana nao.
Saa nyingine mjinga huwa atambui kama ameumia mpaka damu ziwe zinavuja.

Na ninavyo wafahamu mbumbumbu fc ata wakitandikwa na Yanga kutokana na mapungufu Yao, hawata jitathmini ila watasema Yanga wachawi.
 
Sayansi ni pamoja na kutambua mapungufu Yako na kuyafanyia kazi, Sasa kwakua bado hamjatambua Wala kukubali mapungufu mliyonayo Subirini Yanga ije ipigie mstari Yale ambayo Raja Casablanca wali ya ainisha katika mechi mbili mlizo kutana nao.
Saa nyingine mjinga huwa atambui kama ameumia mpaka damu ziwe zinavuja.

Na ninavyo wafahamu mbumbumbu fc ata wakitandikwa na Yanga kutokana na mapungufu Yao, hawata jitathmini ila watasema Yanga wachawi.
Yanga ipi? au unasemea hawa uto?
 
kama kuna shabiki alitegemea matokeo leo tunayoita jana basi anasukumwa na mihemko
 
Sayansi ni pamoja na kutambua mapungufu Yako na kuyafanyia kazi, Sasa kwakua bado hamjatambua Wala kukubali mapungufu mliyonayo Subirini Yanga ije ipigie mstari Yale ambayo Raja Casablanca wali ya ainisha katika mechi mbili mlizo kutana nao.
Saa nyingine mjinga huwa atambui kama ameumia mpaka damu ziwe zinavuja.

Na ninavyo wafahamu mbumbumbu fc ata wakitandikwa na Yanga kutokana na mapungufu Yao, hawata jitathmini ila watasema Yanga wachawi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nacheka kama mazuri,, eti yanga [emoji1787][emoji1787]
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia, huwezi kui criticize timu ambayo wachezaji hawa hawa:-
1. Wameifikisha timu Robo fainali kombe la mabingwa Africa
2. Wapo number 2 ligi kuu ya Tanzania point chache tu nyuma ya vinara
3. Bado wapo Azam Federation cup

Onyango huyu huyu kacheza game zote za Simba iweje leo ageuke mbovu ghafla? Sijaona wa kunishawishi kwamba Simba hii ni mbovu - bado saana.
Onyango nae kazidi penalty 3 zote kasababisha yeye
 
Onyango nae kazidi penalty 3 zote kasababisha yeye
Yanga Ile inayo itandika Simba Kila wakati na kupelekea wagombea wa Uchaguzi katika Mkutano wa Uchaguzi wa Simba ku set ajenda ya kuchaguliwa kwakua watahakikisha wanaifunga Yanga.
 
Onyango nae kazidi penalty 3 zote kasababisha yeye
Onyango katika picha akituliza Mali kwenye kidali[emoji2][emoji2][emoji2]
Screenshot_20230113-101907.jpg
 
Back
Top Bottom