ONYO: Abood Bus waonye Madereva wako, Mwendokasi unaua abiria wasio na hatia

ONYO: Abood Bus waonye Madereva wako, Mwendokasi unaua abiria wasio na hatia

Mkuu kama umekusudia ongea na trafk gar ikisimama au kwenye bus humo umo kuna no za ratco una report usisubir ad ajal itokeee ndio useme nlijua tutapata ajal dereva nlimuona mda mref nk aitosaidia ajal ikishatokea
 
Daah hawa jamaa wote wa mabasi makubwa na wenzao wa serekali wanajikuta wao pekee ndo wenye haki ya kutumia barabara. Wanaovateki hovyo tena hata hawajali uwepo wa gari zingine hasahasa hizi gari ndogondogo.
 
Huyo nahisi atakuwa dereva mmoja anafuga ndevu nyingi jina limenitoka yupo rafu sana.Na huwa Morogoro anatoka wa kwanza.
 
Huwa wanabeti. Kuna siku nimepanda basi nilikaa kule mbeli niliooa dereva na wahudumu wanaongea kiswahili cha kinyume ili abiria tusielewe. Wakawa wanasema kwamba dereva kila siku anawachania mkeka.

Wakawa wanamsifu dereva wa kampuni fulani kwamba hajawahi kuwaangusha, kila anakohamia mikeka inatiki tu.

Kimoyomoyo nikawa najisemea bora huyu anayechana mikeka lakini tunafika salama.
 
Abiria mlitakiwa kumkomalia hapo hapo

Ova
 
Mkuu kama umekusudia ongea na trafk gar ikisimama au kwenye bus humo umo kuna no za ratco una report usisubir ad ajal itokeee ndio useme nlijua tutapata ajal dereva nlimuona mda mref nk aitosaidia ajal ikishatokea
Hizo number za simu za ratco hazimo, yule driver wa truck alikwenda kuwaambia traffic police wa Mdaula, wamemkamata wakampiga fine baada ya abiria kutoa ushahidi
 
Usijaribu hilo!Kuna wakati hata abiria wenzio wanaweza kukugeuka.Waswahili hatuthamini uhai
Upo sahihi hata tuliposimamishwa na polisi mdaula ikawa babeli wengine wanataka kuwahi wanamwombea msamaha wengine wanawataka askari wamuadhibu
 
Huyo nahisi atakuwa dereva mmoja anafuga ndevu nyingi jina limenitoka yupo rafu sana.Na huwa Morogoro anatoka wa kwanza.
Ni huyo ana kimzuzu hivi, kuna mtu mzima (anakaribia ubabu) amemfuata akamuuliza kwanini anaendesha rough akajibu anataka kurudi Dar saa 12 jioni
 
Daah hawa jamaa wote wa mabasi makubwa na wenzao wa serekali wanajikuta wao pekee ndo wenye haki ya kutumia barabara. Wanaovateki hovyo tena hata hawajali uwepo wa gari zingine hasahasa hizi gari ndogondogo.
Lakini yule dereva ana kitu hakiko sawa kichwani ukimchunguza na kumsikiliza utagundua hayuko sawa kisaikolojia
 
Acha gubu mtoto wa kiume hii post ni ya pili kwa siku moja
 
Nipo kwenye Abood Bus T 818 DXJ linalotoka Dar - Morogoro, dakika chache zilizopita tumenusurika ajali kugongana uso kwa uso na lorry karibu na Imperial Sec School Chalinze kisa ni dereva wa Abood kuwa kwenye mwendo mkali na kuovertake lorry lenye namba T662 DEM sehemu isiyoruhusu wakati mbele kuna lorry jingine linakuja.

Dereva wa lorry la kushoto akajitahidi kutoa nje ili tupite lakini haikusaidia ikabidi dereva wa lorry la mbele afunge breki za ghafla kunusuru hali.

Dereva wa Abood alipopenya akafika mbele na kumvizia dereva wa lorry lililotunusuru na kumsogezea bus ili atoke nje ya barabara.

Dereva wa lorry T662 DEM ametoa taarifa Polisi Mdaula na dereva wa bus amezuiwa kuendelea na safari baada ya askari kupata ushahidi kutoka kwa abiria juu ya kilichotokea.

Abood una mabasi mazuri yenye viwango, lakini jitahidi ku-mentor your drivers
Na wewe pia una shida . Ulishamlalamikia dereva huyo hapo kabla na hadi uzi ukaleta humu , kwa nini usimonye kabla ya safari maana hadi namba za basi unazijua?
Binafsi nikipanda basi halafu kukawa na experience mbaya ya dereva au basi lenyewe nitawaambia ikishindikana sitopanda tena basi hilo.
Watch out!! usije kuleta uzi wa tatu ukiwa kwenye ajali kamili ya basi hilo hilo na dereva huyo huyo.
 
Back
Top Bottom