Gabbar_singh
Senior Member
- Jan 5, 2019
- 146
- 215
Siyo lazima uchangie upumbavu wakoMkuu ina mana umeshindwa kuinuka na kwenda kumwambia dereva apunguze mwendo?
Usijaribu hilo!Kuna wakati hata abiria wenzio wanaweza kukugeuka.Waswahili hatuthamini uhaiMkuu ina mana umeshindwa kuinuka na kwenda kumwambia dereva apunguze mwendo?
Hizo number za simu za ratco hazimo, yule driver wa truck alikwenda kuwaambia traffic police wa Mdaula, wamemkamata wakampiga fine baada ya abiria kutoa ushahidiMkuu kama umekusudia ongea na trafk gar ikisimama au kwenye bus humo umo kuna no za ratco una report usisubir ad ajal itokeee ndio useme nlijua tutapata ajal dereva nlimuona mda mref nk aitosaidia ajal ikishatokea
Upo sahihi hata tuliposimamishwa na polisi mdaula ikawa babeli wengine wanataka kuwahi wanamwombea msamaha wengine wanawataka askari wamuadhibuUsijaribu hilo!Kuna wakati hata abiria wenzio wanaweza kukugeuka.Waswahili hatuthamini uhai
Ni huyo ana kimzuzu hivi, kuna mtu mzima (anakaribia ubabu) amemfuata akamuuliza kwanini anaendesha rough akajibu anataka kurudi Dar saa 12 jioniHuyo nahisi atakuwa dereva mmoja anafuga ndevu nyingi jina limenitoka yupo rafu sana.Na huwa Morogoro anatoka wa kwanza.
Lakini yule dereva ana kitu hakiko sawa kichwani ukimchunguza na kumsikiliza utagundua hayuko sawa kisaikolojiaDaah hawa jamaa wote wa mabasi makubwa na wenzao wa serekali wanajikuta wao pekee ndo wenye haki ya kutumia barabara. Wanaovateki hovyo tena hata hawajali uwepo wa gari zingine hasahasa hizi gari ndogondogo.
Unamzungumzia marijani au? Anavaa na macheni ya silver sio?Huyo nahisi atakuwa dereva mmoja anafuga ndevu nyingi jina limenitoka yupo rafu sana.Na huwa Morogoro anatoka wa kwanza.
wanakwambia wanawahi vichwaBaadhi ya madereva wa Abood kenge safari yenyewe fupi papara zanini
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Na wewe pia una shida . Ulishamlalamikia dereva huyo hapo kabla na hadi uzi ukaleta humu , kwa nini usimonye kabla ya safari maana hadi namba za basi unazijua?Nipo kwenye Abood Bus T 818 DXJ linalotoka Dar - Morogoro, dakika chache zilizopita tumenusurika ajali kugongana uso kwa uso na lorry karibu na Imperial Sec School Chalinze kisa ni dereva wa Abood kuwa kwenye mwendo mkali na kuovertake lorry lenye namba T662 DEM sehemu isiyoruhusu wakati mbele kuna lorry jingine linakuja.
Dereva wa lorry la kushoto akajitahidi kutoa nje ili tupite lakini haikusaidia ikabidi dereva wa lorry la mbele afunge breki za ghafla kunusuru hali.
Dereva wa Abood alipopenya akafika mbele na kumvizia dereva wa lorry lililotunusuru na kumsogezea bus ili atoke nje ya barabara.
Dereva wa lorry T662 DEM ametoa taarifa Polisi Mdaula na dereva wa bus amezuiwa kuendelea na safari baada ya askari kupata ushahidi kutoka kwa abiria juu ya kilichotokea.
Abood una mabasi mazuri yenye viwango, lakini jitahidi ku-mentor your drivers
Watanzania ndivyo tulivyo malalamiko meengi , bila kuchukua hatua .Acha gubu mtoto wa kiume hii post ni ya pili kwa siku moja