Onyo: Forex trading haina mamlaka ya usimamizi

Umenihuzunisha sana mkuu wangu!!

Unaelewa maana ya forex broker?? Unajua kufungua kampuni ya forex broker unahitaji dola million ngapi?? Unajua bajeti ya kufungua tu inakaribia bajeti ya wizara moja hapa Tz??

Sasa ontario toka lini kawa broker?? Kama hujui bora uulize mkuu wangu sio unalalamika na kuandika upuuzi tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ONTARIO atakuwa kakusonya mbaya!
 
Bro, kwanini unaandika mambo usiyofahamu?

Kwanini unaendeshwa na uwoga?

Au unaona wivu jamaa kutusua mil 19?

Forex is real
 
endelea kumuamini huyo mfadhili wenu
 
karibu sana.bora mimi nauza mbege kuliko nyie mnaotaka kutapeliwa .
 
Mama Muuza, ongeza nusu...
Mleta mada yule, anaitwa ONTARIO kuweka kumbukumbu sawa. Enhe, mwaga udambwi.
 
anza kutrade uone atakavofaidika unadhani yeye ni mjinga sio?
U don't make a sense kabisa,kwanza nimekuwa introduce kwenye this busness kabla sijaona uzi wa ontario,kifupi huyu ontario anamoyo mzuri sana,jaribu kutafuta watu waliofanikiwa kwenye this busness,asubuhi ukiweza weka logic yako on how ontario atafaidika mtu akianza kutrade...fanya research kabla ya kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…